GeoMex
JF-Expert Member
- Jan 10, 2014
- 5,431
- 19,776
hamkua na migogoro, hukua na madeni ila ulivopanda tu mti familia ikasambaratika na nyumba kuuzwa aseeee!!!
Halafu tukiitwa shit shimo tunamaind
Kwahio mti ulienda kukopa
Mti ukaleta mgogoro
Mti ukauza nyumba
Hakuna sababu zingine kweli mnausingizia tu mti?
*mbaazi zikikauka.......*