Jipu
JF-Expert Member
- Apr 20, 2015
- 2,614
- 5,013
Mshana aliwahi kuandika kuhusu huo mti link hii hapa Mti chonganishi
Ili nikuamini... niambie unaitwaje kwa kijaluo...??!!Ni panga uzazi, maana yake hautoi matawi hovyox2, yanatoa kwa awamu na uzazi mmoja hutambaa pamoja.
Hiyo ya mikosi ni kuwa watu hudhani ukipanda nyumbani mizizi ikaingia ndani basi wewe na mkeo mlizaa hovyo basi watu wanakufa. Hasa wajaluo huamini hivyo.
Haina ukweli wowote, nyumbani kwangu nimepanda zaidi ya 15
Acha ujuha wewe..!!Mkuu,niliipanda pia kwenye nyumba yangu,nikaambiwa tahadhari hiyo ila nikapuuza vikali.Leo hii ninavyoongea,familia yangu imesabaratika,maisha yalivurugika vibaya hadi niliuza nyumba,mikosi iliyotokea nusura maisha yangu na ya mwanangu yapotee.Ni kwa neema ya Mungu tu nipo hadi sasa.Nalazimika kuamini ingawa mimi ni mgumu sana kuamini vitu hivyo.
Na pia imenipa changamoto ya kuyatizama maisha kwa namna tofauti sana na nilivyoyatizama awali.Kweli dunia hii ina mambo magumu sana,nikipita kwenye nyumba yangu hiyo,huwa machozi yananilenga na macho hubadilika kuwa mekundu..maumivu huwa makali moyoni hasa nikikumbuka jinsi nilivyowapenda wanangu..niliuza kila kitu mf.gari na kugawa vingine.Nilipata mikosi kazini na kufikishwa mahakamani.Nashukuru Mungu nilishinda kesi na naendelea na maisha.
Mkuu,niliipanda pia kwenye nyumba yangu,nikaambiwa tahadhari hiyo ila nikapuuza vikali.Leo hii ninavyoongea,familia yangu imesabaratika,maisha yalivurugika vibaya hadi niliuza nyumba,mikosi iliyotokea nusura maisha yangu na ya mwanangu yapotee.Ni kwa neema ya Mungu tu nipo hadi sasa.Nalazimika kuamini ingawa mimi ni mgumu sana kuamini vitu hivyo.
Na pia imenipa changamoto ya kuyatizama maisha kwa namna tofauti sana na nilivyoyatizama awali.Kweli dunia hii ina mambo magumu sana,nikipita kwenye nyumba yangu hiyo,huwa machozi yananilenga na macho hubadilika kuwa mekundu..maumivu huwa makali moyoni hasa nikikumbuka jinsi nilivyowapenda wanangu..niliuza kila kitu mf.gari na kugawa vingine.Nilipata mikosi kazini na kufikishwa mahakamani.Nashukuru Mungu nilishinda kesi na naendelea na maisha.
Daah hii ya kuhisiana uchawi imeikumba familia yetu, mpaka sasa familia imesambaratika kabisa kisa kutuhumiana uchawi.ni kweli halafu ikipandwa hyo nyumba hamtapatana milele familia itakuwa ya kulumbana tu na kuhisiana uchawi kingine jinsi mlivo kiumri ndivyo mtakavyokufa yaan anaanza mkubwa anamalizia mdogo
hamkua na migogoro, hukua na madeni ila ulivopanda tu mti familia ikasambaratika na nyumba kuuzwa aseeee!!!Mkuu,niliipanda pia kwenye nyumba yangu,nikaambiwa tahadhari hiyo ila nikapuuza vikali.Leo hii ninavyoongea,familia yangu imesabaratika,maisha yalivurugika vibaya hadi niliuza nyumba,mikosi iliyotokea nusura maisha yangu na ya mwanangu yapotee.Ni kwa neema ya Mungu tu nipo hadi sasa.Nalazimika kuamini ingawa mimi ni mgumu sana kuamini vitu hivyo.
Na pia imenipa changamoto ya kuyatizama maisha kwa namna tofauti sana na nilivyoyatizama awali.Kweli dunia hii ina mambo magumu sana,nikipita kwenye nyumba yangu hiyo,huwa machozi yananilenga na macho hubadilika kuwa mekundu..maumivu huwa makali moyoni hasa nikikumbuka jinsi nilivyowapenda wanangu..niliuza kila kitu mf.gari na kugawa vingine.Nilipata mikosi kazini na kufikishwa mahakamani.Nashukuru Mungu nilishinda kesi na naendelea na maisha.
hamkua na migogoro, hukua na madeni ila ulivopanda tu mti familia ikasambaratika na nyumba kuuzwa aseeee!!!Mkuu,niliipanda pia kwenye nyumba yangu,nikaambiwa tahadhari hiyo ila nikapuuza vikali.Leo hii ninavyoongea,familia yangu imesabaratika,maisha yalivurugika vibaya hadi niliuza nyumba,mikosi iliyotokea nusura maisha yangu na ya mwanangu yapotee.Ni kwa neema ya Mungu tu nipo hadi sasa.Nalazimika kuamini ingawa mimi ni mgumu sana kuamini vitu hivyo.
Na pia imenipa changamoto ya kuyatizama maisha kwa namna tofauti sana na nilivyoyatizama awali.Kweli dunia hii ina mambo magumu sana,nikipita kwenye nyumba yangu hiyo,huwa machozi yananilenga na macho hubadilika kuwa mekundu..maumivu huwa makali moyoni hasa nikikumbuka jinsi nilivyowapenda wanangu..niliuza kila kitu mf.gari na kugawa vingine.Nilipata mikosi kazini na kufikishwa mahakamani.Nashukuru Mungu nilishinda kesi na naendelea na maisha.
nimeshasikia habari kama hizi kwa baadhi ya miti...
mti wa mbilimbi na mti wa hina ni miti yenye kuleta mikosi na bahati mbaya kwa wakazi wa hiyo nyumba..
maua ya jasmin ile harufu yake inaita majini...
mti wa mkungu ni makazi ya majini..
kwa upande wangu sijawahi kuthibitisha ukweli ni upi, ivyo naona ni iman potofu kwa jamii isiyo elimika...
Pole sana Mkuu!Mkuu,niliipanda pia kwenye nyumba yangu,nikaambiwa tahadhari hiyo ila nikapuuza vikali.Leo hii ninavyoongea,familia yangu imesabaratika,maisha yalivurugika vibaya hadi niliuza nyumba,mikosi iliyotokea nusura maisha yangu na ya mwanangu yapotee.Ni kwa neema ya Mungu tu nipo hadi sasa.Nalazimika kuamini ingawa mimi ni mgumu sana kuamini vitu hivyo.
Na pia imenipa changamoto ya kuyatizama maisha kwa namna tofauti sana na nilivyoyatizama awali.Kweli dunia hii ina mambo magumu sana,nikipita kwenye nyumba yangu hiyo,huwa machozi yananilenga na macho hubadilika kuwa mekundu..maumivu huwa makali moyoni hasa nikikumbuka jinsi nilivyowapenda wanangu..niliuza kila kitu mf.gari na kugawa vingine.Nilipata mikosi kazini na kufikishwa mahakamani.Nashukuru Mungu nilishinda kesi na naendelea na maisha.
Tangu inaanza kusambaratika si ungeukata!Mkuu,niliipanda pia kwenye nyumba yangu,nikaambiwa tahadhari hiyo ila nikapuuza vikali.Leo hii ninavyoongea,familia yangu imesabaratika,maisha yalivurugika vibaya hadi niliuza nyumba,mikosi iliyotokea nusura maisha yangu na ya mwanangu yapotee.Ni kwa neema ya Mungu tu nipo hadi sasa.Nalazimika kuamini ingawa mimi ni mgumu sana kuamini vitu hivyo.
Na pia imenipa changamoto ya kuyatizama maisha kwa namna tofauti sana na nilivyoyatizama awali.Kweli dunia hii ina mambo magumu sana,nikipita kwenye nyumba yangu hiyo,huwa machozi yananilenga na macho hubadilika kuwa mekundu..maumivu huwa makali moyoni hasa nikikumbuka jinsi nilivyowapenda wanangu..niliuza kila kitu mf.gari na kugawa vingine.Nilipata mikosi kazini na kufikishwa mahakamani.Nashukuru Mungu nilishinda kesi na naendelea na maisha.
Mkuu,niliipanda pia kwenye nyumba yangu,nikaambiwa tahadhari hiyo ila nikapuuza vikali.Leo hii ninavyoongea,familia yangu imesabaratika,maisha yalivurugika vibaya hadi niliuza nyumba,mikosi iliyotokea nusura maisha yangu na ya mwanangu yapotee.Ni kwa neema ya Mungu tu nipo hadi sasa.Nalazimika kuamini ingawa mimi ni mgumu sana kuamini vitu hivyo.
Na pia imenipa changamoto ya kuyatizama maisha kwa namna tofauti sana na nilivyoyatizama awali.Kweli dunia hii ina mambo magumu sana,nikipita kwenye nyumba yangu hiyo,huwa machozi yananilenga na macho hubadilika kuwa mekundu..maumivu huwa makali moyoni hasa nikikumbuka jinsi nilivyowapenda wanangu..niliuza kila kitu mf.gari na kugawa vingine.Nilipata mikosi kazini na kufikishwa mahakamani.Nashukuru Mungu nilishinda kesi na naendelea na maisha.