Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 11,638
- 8,569
Kumbeee! Kwahiyo ripoti ya kuchunguza jambo lilitokea sio "research"? Your research lecturer was very brilliant!!!Hiyo siyo research mkuu,umechanganya madesa!
Kumbeee! Kwahiyo ripoti ya kuchunguza jambo lilitokea sio "research"? Your research lecturer was very brilliant!!!Hiyo siyo research mkuu,umechanganya madesa!
Tofautisha kati ya utafiti na uchunguzi!Uchunguzi hufanywa kubaini chanzo Cha jambo lililokwisha tokea!Kumbeee! Kwahiyo ripoti ya kuchunguza jambo lilitokea sio "research"? Your research lecturer was very brilliant!!!
Bado anaota usipukaARE U SLIPING ARE U SLIPING BRAZA MUSSA.....BURAZA MUSSA..... !
MONINGI BELIZ AR RINGINGI DING DONG DENG😅😅😅😅ARE U SLIPING ARE U SLIPING BRAZA MUSSA.....BURAZA MUSSA..... !
Kwaiyo ni mshumaa..SERIKALI YARUHUSU WAFANYABIASHARA KUREJEA KARUME KWA MPANGO MZURI.
- Umati walipuka kumpongeza Rais Samia Suluhu Hassan.
- RC Makalla apokea taarifa ya ripoti ya Kamati iliyoundwa kuchunguza Chanzo Cha Moto.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ameruhusu Wafanyabiashara wa Soko la Karume kurejea na kuendelea na Biashara kwa kuwekewa Mpango mzuri ambapo Wafanyabiashara wa Soko hilo wamepongeza uamuzi huo na kuishukuru Serikali.
Akizungumza wakati wa mkutano wa hadhara na Wafanyabiashara hao Mara Baada ya kupokea Taarifa ya ripoti iliyoundwa kuchunguza chanzo Cha Moto, Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amesema Rais Samia ameelekeza pia uwepo utaratibu mzuri wa kuzuia Moto, kuhakikisha hakuna atakaedhulumiwa eneo lake na kutoa ruhusa kwa Wafanyabiashara kujenga Vibanda kwa gharama zao.
Kuhusu Ripoti ya chanzo Cha Moto, RC Makalla amesema Kamati imebaini Moto huo ulitokana na Mshumaa uliowashwa kwenye kibanda walichokuwa wanajihifadhi watumiaji wa dawa za kulevya "Mateja".
Aidha RC Makalla amesema Baada ya kupokea ripoti hiyo ataikabidhi kwenye Mamlaka za juu kwaajili ya utekelezaji wa maoni na Mapendekezo yote ya Kamati.
Miongoni mwa Maoni na Mapendekezo ya Kamati hiyo Ni pamoja Ujenzi wa Soko jipya linaloendana na Hali ya Sasa na vizimba kutolewa kwa kipaombele kwa wazawa, uwepo wa mfumo mzuri wa kuzuia Moto, Barabara za kuingia na kutoka, Ujenzi wa Majengo ya Muda mfupi, Kila mfanyabiashara kuwa na bima.
Kwa upande wake Mwenyekiti wa Kamati hiyo Eng. Justin Lukaza amesema hasara iliyotokana na Kuungua Hilo ni zaidi ya Shilingi Bilioni 7.2 ambapo idadi ya Wafanyabiashara waliokumbwa na janga Hilo Ni 3,090.
Pia soma:
- Shuhuda: Chanzo cha moto soko la Karume ni mateja, waliangusha mshumaa wakati wanatengeneza mihadarati (18/01/2022)
View attachment 2094094
hawa wanasiasa muda wote wanafikiria watanzania bado ni wale wale wa 1977 february tarehe 5, na kuna baaadhi yao huenda wana kazi maalum , huyu makala alipokuwa mbeya soko la chimala kila mara likiungua, kaja dsm ni yaleyale ...................!!!!Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla, amesema uchunguzi umebaini kuwa mshumaa uliowashwa na mateja ndio sababu ya kuungua kwa soko la Karume na kusema anaamini jeshi la polisi litakuchua hatua stahiki kwa wahusika kwa kuwa wanajulikana.
“Sasa zile hisia za nani kachoma nini, mmeona wenyewe, tumeelezwa na mmemsikia Jose amejitoa mhanga ameeleza kwamba tusipoteze muda aliyechoma soko ninamjua, ninaamini jeshi la polisi litachukua hatua stahiki kwa sababu watu hao wanajulikana,” amesema RC Makalla.
Mshumaa Ndio Umeteketeza Soko la Karume
My take...
Mimi najaribu kuwaza, huyu aliyemuona huyo teja akiangusha mshumaa alichukua jitihada gani kuzuia hili janga lisitokee? Lakini kwa nini isiundwe tume maalum kabisa kufanya tafiti na kuja na majibu kuhusu hii choma choma ya masoko maana imekithiri sasa. Zilianza shule kuchomwa moto karibu mwaka mzima, wananchi wakiwa hawajui chanzo, leo yameanza masoko kuteketea. Kuna haja ya kulitazama hili kwa jicho la kipekee.