Huu msemo Behind every successful man there's a woman behind UFUTWE ni uongo uliokubuhu

chunguza mfumo wa maisha kwenye shule za bweni jinsia moja na mchanganyiko. penye mchanganyiko wanaume kila kitu wanajali, usafi, kufaulu kuliko wanawake, kufanya mambo yatakayompa sifa kuliko wote ile awe kivutio kwa wanawake. njoo za boys tupu, watu hawaogi hata mwezi, wanasoma ili tu hasifeli wastani, ubunifu unakuwa mdogo kwani mwanaume mwenzio akusifie ili iweje. ila kama msemo ulilenga kwamba huyo mwanamke ni wife basi wamekosea japo bibilia inasema apatae mke amepata kitu chema na kitu chema chaweza kukupa mafanikio
Mbona shule nyingi boys tupu ndiyo wanakimbiza kwenye passing mkuu HIYO INFLUENCE YA WANAWAKE HAPO IKO WAP?
 
[HASHTAG]#pay[/HASHTAG] Thon We Umewaza Mwanamke Gan? Sikia Mwanamke Anaeongelewa Kwenye Huo Msemo Kwa %95 Ni Mama , Mama Ana Play Part Kubwa Sana Kwenye Maisha Kwa Mfano Mimi Mpaka Kupata Elimu Hii Mama Amehaso Kwa % 99 Na Baba %1 , Sio Hao Wake Zenu Wanaokuja Baada Ya Kuona Una Mshahara, Umenunua Ka Passo , Nk Hao Wachumia Tumbo Tu Ingawa Kuna Wachache Walikua Na Wewe Hata Katika Kipindi Kigumu, Au Watakua Na Wewe Kuanzia Mama Amekuacha Mpaka Kufikia Malengo Ulioyataka , So Mim Mtu Akilete Mada Kama Hyo Me Ntamwambia Ni Mama Tu Hawa Wengine Wanakuja Baadae Sana Na Wanapata %5,
 
[HASHTAG]#pay[/HASHTAG] Thon We Umewaza Mwanamke Gan? Sikia Mwanamke Anaeongelewa Kwenye Huo Msemo Kwa %95 Ni Mama , Mama Ana Play Part Kubwa Sana Kwenye Maisha Kwa Mfano Mimi Mpaka Kupata Elimu Hii Mama Amehaso Kwa % 99 Na Baba %1 , Sio Hao Wake Zenu Wanaokuja Baada Ya Kuona Una Mshahara, Umenunua Ka Passo , Nk Hao Wachumia Tumbo Tu Ingawa Kuna Wachache Walikua Na Wewe Hata Katika Kipindi Kigumu, Au Watakua Na Wewe Kuanzia Mama Amekuacha Mpaka Kufikia Malengo Ulioyataka , So Mim Mtu Akilete Mada Kama Hyo Me Ntamwambia Ni Mama Tu Hawa Wengine Wanakuja Baadae Sana Na Wanapata %5,
Msemo hauzungumzii mwanamke mama mzazi sidhani hata kidogo.
Kwamtazamo wangu msemo huu unamzungumzia mke au mwanamke aliyenaukaribu na wewe ukiondoa mama.
Kwamba mama ndio huyo mwanamke anaesemwa je huwa analea tu watoto wa kiume halei wakike.
Ni mke ndio humlea mume na yeye atakua behind that man kila wakati.
Wanawake wanamchango mkubwa kwenye mafanikio ya wanaume waliowengi ingawa sio wote.
Tuchague kuwa na ukaribu na wanawake wenye mchango chanya kwetu.
Ref: The fall of Mugabe et all
 
Huo msemo uko sahihi, sema context tu ndio inakuchanganya! Behind every successful man there is a woman. Kwa sababu hakuna mwanamke anaemtaka mwanaume alie fukara(broke).
Wanaume Wa kiafrika 90% ni mafukara vvip hawapati wanawake?
 
Msemo hauzungumzii mwanamke mama mzazi sidhani hata kidogo.
Kwamtazamo wangu msemo huu unamzungumzia mke au mwanamke aliyenaukaribu na wewe ukiondoa mama.
Kwamba mama ndio huyo mwanamke anaesemwa je huwa analea tu watoto wa kiume halei wakike.
Ni mke ndio humlea mume na yeye atakua behind that man kila wakati.
Wanawake wanamchango mkubwa kwenye mafanikio ya wanaume waliowengi ingawa sio wote.
Tuchague kuwa na ukaribu na wanawake wenye mchango chanya kwetu.
Ref: The fall of Mugabe et all
sawa Ila kwangu Mimi Mama Kwanza
 
Wanaume Wa kiafrika 90% ni mafukala vvip hawapati wanawake?
Mwanaume akishakuwa successful ndio anakuwa na mwanamke behind.

Parameters za kuwa successful zinatofautiana, na katika hizo tofauti kila mmoja anampata mwemza kulingana na priority alizoweka.
 
Kwamba mama ndio huyo mwanamke anaesemwa je huwa analea tu watoto wa kiume halei wakike.
[/QUOTE] chalenji yako nzuri mkuu. Ila kuna wakati neno MAN huwa linawakilisha jinsia zote mbili. Kwa mfano: man of action, man of God, man of people, nk.
 
Huo msemo unaukweli asilimia zote. Si lazima mwanamke achangie pesa ili ufanikiwe hapana. Ushauri mzuri na kukufariji kipindi unapokutana na changamoto katika kazi au biashara zako ndio hukufanya ufanikiwe.
Mama pia anamchango mkubwa katika mafanikio ya mwanaume japo umempa 2% hapo juu. Unaweza ukaanza kujitegemea lakini bado utahitaji msaada wa kimawazo kutoka kwake nasaha na baraka zake ndio vichocheo vya mafanikio yako.
Kidogo nimekuelewa
Huo msemo unaukweli asilimia zote. Si lazima mwanamke achangie pesa ili ufanikiwe hapana. Ushauri mzuri na kukufariji kipindi unapokutana na changamoto katika kazi au biashara zako ndio hukufanya ufanikiwe.
Mama pia anamchango mkubwa katika mafanikio ya mwanaume japo umempa 2% hapo juu. Unaweza ukaanza kujitegemea lakini bado utahitaji msaada wa kimawazo kutoka kwake nasaha na baraka zake ndio vichocheo vya mafanikio yako.
 
Behind every successful man there's a woman behind them


Leo imenibidi nizungumzie msemo huu maarufu ambao unapendwa sana kusemwa pale mwanaume anapofanikiwa kwenye maisha "Eti behind every successful man there's a woman behind.

1.Huu msemo naupinga sana wanaume hufanikiwa bila sapoti ya mwanamke ,msemo huu ungesomeka behind every successful woman there's a man behind ningesapoti 100%....vijana wengi wa kiume wana hustle na kupitia magumu mengi mpaka anafanikiwa na akisha fanikiwa ndipo anapopata mwanamke kama unabisha waulize vijana wengi watakuambia subiri nipate pesa mbona nitaheshimika ,mbona nitampata yeyote yule nk na kwasasa hakuna mwanamke akae na kapuku mpaka huyo kapuku afanikiwe wanawake wa sasa wanata ready made mwanaume awe vizuri kwahiyo msemo huu hauwezi kuwa applicable.

2.kijana wa kiume mfano wale wasiobahatika kupata elimu kubwa hutaabika kutafuta kazi ya kumpatia rizki hapo atajiingiza kwenye Sanaa ata-hustle huku akiishi gheto na washikaji mpaka akabahatika kutoboa na kuwa na maisha nafuu au mazuri na hapo atamtafuta msichana ampendaye au kijana kaingia kwenye mpira ,au kazi yeyote ile au biashara akiwa zero mpaka akiwa 100 au 70 ndio mwanamke hujitokeza .

Wapo waliopitia elimu ame-hustle mpaka chuo na siku zote msichana anaweza kupatiwa maksi za bure na lecture ,akamlegezea macho na akapata ila mwanaume maisha yake yote ni hustling mpaka anamaliza chuo na kuanza kusaka kazi hapo atakaa mtaani miaka kadhaa ila msichana kuna privilege wanakuwa nayo fasta kazi anapewa ila mwanaume ata hustle mpaka kazi anapata .

Kwahiyo mafanikio ya mwanaume hayana behind Mwanamke ni uongo tu ,mwanamke anaibuka kipindi cha mafanikio


3.MAMA ni mwanamke na anahusika 2% ya mafanikio ya Mwanaume kwa fadhila ya kumlea na kumsimamia mpaka pale Mtoto wa kiume akisha balehe na kufikisha miaka 18 kwa huku mjini ila vijijini miaka 16.,na sapoti zinginezo na Mtoto wa kiume akiwa nyumbani kuanzia miaka 20 asiwe na shughuli atasakakwa ila wa kike yeye kila kitu kuna mtu nyuma wa kumsapoti ,hata mwanaume akitoka kwao na kwenda kutafuta maisha mjini tuseme Dar anamuacha mama huku ata hustle ili apate mafanikio arudishe fadhila nyumbani


Huu msemo

Behind every successful man there's a woman behind naomba ufutwe au ubadilishwe Behind every successful woman there's a man behind


97% ya wanawake wanaoendesha magari wamenunuliwa na wanaume na 3% wamenunua wao ila 100% ya wanaume wanaomiliki magari wamenunua wao

90% ya waajiriwa wanawake wamewekwa kwa upendeleo kazini

98% wamewapata wenzi wao waliofunga nao ndoa baada ya kupata mafanikio

100% ya wanawake wameolewa na wanaume waliopata mafanikio

0% ya wanawake wametoka pamoja na wanaume from nothing to everything kwa dunia ya sasa.

Mama anachangia 2% tu ya mafanikio ya mwanaume
Hizo takwimu za % umezipata wapi? Sheria ya takwimu itakufuata.
 
Back
Top Bottom