MR.NOMA
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 338
- 502
Wadau,
Juzi nikiwa Iringa town na wadau tunapata kinywaji, akatokea mdau mmoja naye anapata kinywaji, katika stories akaanza kutueleza juu ya mradi mpya walioupata katika Shirika lao.
Mradi huo ni kuwatambua machangudoa na mashoga pia kuwawezesha kiuchumi kidogo na kuwagawia vilainishi ili wasichubuke wakati wa gemu.
Akijibu maswali yetu alisema mradi huo wameufanya kutokana na tafiti za wizara ya afya nchini hasa ile iliyobaini kuwa kundi hili la watu lipo hatarini kuambukizwa VVU kwa urahisi.
Hofu yangu, Hii kuwapa vilainishi na hela isjije ikawa inaingiza kwenye taifa la ushoga.
Juzi nikiwa Iringa town na wadau tunapata kinywaji, akatokea mdau mmoja naye anapata kinywaji, katika stories akaanza kutueleza juu ya mradi mpya walioupata katika Shirika lao.
Mradi huo ni kuwatambua machangudoa na mashoga pia kuwawezesha kiuchumi kidogo na kuwagawia vilainishi ili wasichubuke wakati wa gemu.
Akijibu maswali yetu alisema mradi huo wameufanya kutokana na tafiti za wizara ya afya nchini hasa ile iliyobaini kuwa kundi hili la watu lipo hatarini kuambukizwa VVU kwa urahisi.
Hofu yangu, Hii kuwapa vilainishi na hela isjije ikawa inaingiza kwenye taifa la ushoga.