Huu mgogoro unausuluhisha vipi? (Uzoefu - Hekima na Busara, wanasaikolojia wenzangu)

Education Mentor

JF-Expert Member
Oct 26, 2016
396
687
Huu mgogoro unausuruhisha vipi? (Wenye Uzoefu <Hekima na Busara> na pia wanasaikolojia wenzangu))
upload_2018-5-26_12-53-30.png

(Kuna msemo unaosema hivi when trust is broken sorry mean nothing)

Nimepitia kesi nyingi za ndoa kufahamu chanzo cha migogoro hiyo lakini nilichokigundua chanzo kikuu ca migogoro ya ndoa ni Kukosekana kwa uaminifu

Kwa hili kesi aslimia 80 zamigongano hiyo wanaume wanaongoza kucheat wakati wanawake ni 20 tu hasa katika ndoa.

Mazingira ya wanawake kucheat yanatokea mara kwa mara hasa ikitokea kakutana na ex wake waliopotezana muda mrefu.

Kuna case moja imekuwa pasua kichwa sana kuisovu kutokana na msimamo wa Mke mimi namuita iron lady.

Huyu dada ni mzuri na ana akili sana ya maisha aliolewa na jamaa flani wakafanikiwa kupata watoto wawili mmoja miaka 3 na mwingine ana maiaka 5, sifa yake huyu dada ni ana upendo wa kweli sana kwa mume wake, walikutana chuoni baada ya kumaliza masomo wakaoana, huyu dada hakutaka kuajiriwa kajikita sana kwenye biashara baada ya kupata sapoti ya mtaji mdogo kutoka kwa mume wake na familia yake huyo dada.

Kweli biashara imesimama na imekuwa mkombozi sana kwa familia kwa ujumla hata mahali jamaa ameweza kufanya mengi kupitia kipato cha mke wake kutokana na biashara anazoendesha.

jamaa ni mwajiriwa wa kampuni flani na ana maisha mazuri tu ya tabaka la kati lakini na ana cheo Fulani kazini kwake ambapo kuna watu wapo chini yake akiwemo msichana mmoja mrembo sana na msichana huyu alianza onesha interest kwa huyu jamaa, kwahiyo ikatokea siku moja kwenye sherehe za kazini jamaa akawa kalewa na wakawa karibu sana na huyo msichana na hadi wakazini. Bahati mbaya sana kwa starehe ya muda mfupi sana ikamgharimu baada ya mke wake kupata hiyo habari.

Aliposikia na kujihakikishia akaondoka nyumbani pale na watoto akaenda kupanga nyumba akaamua kuanza upya huku akikomaa na biashara zake. Jamaa ikabidi amtafute alie lie sana kwa huyo mdada hapo sana ndio yule dada akaonesha jinsi alivyo ni iron lady “don’t mess with her” kagoma kabisa kurudi na amesimamia msimamo baada jamaa kujaribu kuhitisha ndugu na watu mbalimbali kutatua mgogoro alichofanya yule dada ndio kapelekea kesi mahakamani akitaka waachane kabisa.

Sasa hivi jamaa kakonda na mara kwa mara amekuwa akilalamika anatamani hairudishe familia yake na hataki kabisa kumsumbua tena sababu kadili anavyojaribu mtafuta na hali inazidi kuwa ngumu bora anyamaze ni miaka imezidi kuenda.

Wanaume wenzangu wakati mwingine tujihadhari sana starehe za muda mfupi tu zinaweza kutugharimu sana kupoteza mengi ya thamani.

Hii kesi nipeni nahitaji kusikia wenye uzoefu na matatizo kama haya waliokutana nayo au wameyasikia na kuyatatua na pia wanasaikolojia wenza7ngu mna mchango gani katika hili.

Ili tu hii case ihishe
Na wengine wengi ninahitaji mchango wenu hapo
 
Kwakua haujani-cc sikupi majibu sasa.

Nazingua.

Mara nyingi mtu anayeachwa kwa kukutwa amezini mara moja tu hua ni kwakua alijifanya hajali, ama kwa kuomba msamaha au kwa kulikwepa kosa. Kumbuka kanuni ya kukataa inasema "Usiseme mimi sijafanya, sema mimi sijafanya ila Castr ndiyo alifanya"

Kuna uongo mweupe, uongo mweupe hua tunautumia tunapotaka kuokoa kitu. Jamaa angeweza kuresort kwenye uongo ili kunusuru ndoa.

Ni psychological fact kua watu wengi tupo excited na habari mbaya kuliko nzuri, uongo wa jamaa ilibidi uwe tailored kwenye habari mbaya.
Habari mbaya huongeza credibility ya habari na kupunguza kuhojiwa kuliko habari nzuri.

Ikiwa binti ana akili means angewekew facts mezani zingemfikirisha.

Kwakua sasa tupo kwenye point of no return, kifuatacho ni kumcounsel mume through his misery aachane na mdada. Kama anaona kuna hata asilimia mbili za kukumbukwa then anayo fighting chance.

Siyo tabia nzuri ila itabidi awatumie watoto kama njia ya kurudi kwa mke, so mume ataomba kurudi na ngao yake iwe ni watoto if possible hata watoto waveshwe gwanda waingie vitani.

Ni mpira uende mchezaji abaki au mpira ubaki mchezaji aende lakini mama arudi nyumbani.
 
Kwakua haujani-cc sikupi majibu sasa.

Nazingua.

Mara nyingi mtu anayeachwa kwa kukutwa amezini mara moja tu hua ni kwakua alijifanya hajali, ama kwa kuomba msamaha au kwa kulikwepa kosa. Kumbuka kanuni ya kukataa inasema "Usiseme mimi sijafanya, sema mimi sijafanya ila Castr ndiyo alifanya"

Kuna uongo mweupe, uongo mweupe hua tunautumia tunapotaka kuokoa kitu. Jamaa angeweza kuresort kwenye uongo ili kunusuru ndoa.

Ni psychological fact kua watu wengi tupo excited na habari mbaya kuliko nzuri, uongo wa jamaa ilibidi uwe tailored kwenye habari mbaya.
Habari mbaya huongeza credibility ya habari na kupunguza kuhojiwa kuliko habari nzuri.

Ikiwa binti ana akili means angewekew facts mezani zingemfikirisha.

Kwakua sasa tupo kwenye point of no return, kifuatacho ni kumcounsel mume through his misery aachane na mdada. Kama anaona kuna hata asilimia mbili za kukumbukwa then anayo fighting chance.

Siyo tabia nzuri ila itabidi awatumie watoto kama njia ya kurudi kwa mke, so mume ataomba kurudi na ngao yake iwe ni watoto if possible hata watoto waveshwe gwanda waingie vitani.

Ni mpira uende mchezaji abaki au mpira ubaki mchezaji aende lakini mama arudi nyumbani.
Sawa mkuu nimepata mbinu kupitia watoto. Ok
 
Kwakua haujani-cc sikupi majibu sasa.

Nazingua.

Mara nyingi mtu anayeachwa kwa kukutwa amezini mara moja tu hua ni kwakua alijifanya hajali, ama kwa kuomba msamaha au kwa kulikwepa kosa. Kumbuka kanuni ya kukataa inasema "Usiseme mimi sijafanya, sema mimi sijafanya ila Castr ndiyo alifanya"

Kuna uongo mweupe, uongo mweupe hua tunautumia tunapotaka kuokoa kitu. Jamaa angeweza kuresort kwenye uongo ili kunusuru ndoa.

Ni psychological fact kua watu wengi tupo excited na habari mbaya kuliko nzuri, uongo wa jamaa ilibidi uwe tailored kwenye habari mbaya.
Habari mbaya huongeza credibility ya habari na kupunguza kuhojiwa kuliko habari nzuri.

Ikiwa binti ana akili means angewekew facts mezani zingemfikirisha.

Kwakua sasa tupo kwenye point of no return, kifuatacho ni kumcounsel mume through his misery aachane na mdada. Kama anaona kuna hata asilimia mbili za kukumbukwa then anayo fighting chance.

Siyo tabia nzuri ila itabidi awatumie watoto kama njia ya kurudi kwa mke, so mume ataomba kurudi na ngao yake iwe ni watoto if possible hata watoto waveshwe gwanda waingie vitani.

Ni mpira uende mchezaji abaki au mpira ubaki mchezaji aende lakini mama arudi nyumbani.
Umeongea ukweli.. Njia peke e hapo ni kuwatumia watoto aonyeshe upendo kwa Watoto na watoto wawe demand ya baba yao, Huyo Mama hataweza kuishi mbali na Watoto Mkiendelea kuwatumia ndugu sijui viongozi wa dini sijui viongozi wa ukoo mnazidi kuharibu... Watoto ndiyo njia pekee iliyobaki
 
Kweli kitu kidg 2 cha few moment chawez kukuaribia mstakabari wa maisha yako ..
 
Umeongea ukweli.. Njia peke e hapo ni kuwatumia watoto aonyeshe upendo kwa Watoto na watoto wawe demand ya baba yao, Huyo Mama hataweza kuishi mbali na Watoto Mkiendelea kuwatumia ndugu sijui viongozi wa dini sijui viongozi wa ukoo mnazidi kuharibu... Watoto ndiyo njia pekee iliyobaki
ok
 
Neno la Mungu linasema, Mwanamke mpumbavu huibomoa nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe.
Kwa Dini ya Kiisllamu, Mwanaume anaruhusiwa kuoa wake wengi. Wakristo ni mke moja tu.
Kwa asili, Mila na desturi ziliruhusu mwanaume kuwa na mke zaidi ya moja.
Hata kwa wale Wakristo, tukumbe mfalme moja aliyeitwa Suleiman, ambaye alipendwa sana na Mungu na alikuwa anafanya mawasiliano ya moja kwa moja na Mungu.
Siku moja Mfalme Suleiman alimwambia Mungu, nina utajiri mkubwa sana lakini nimeona ni upuuzi mtupu, nina wanawake1000 na Masuria 999 lakini nimeona ni upuuzi mtupu. Mungu alimuuliza unataka nikupe nini? Mfalme Suleman alijibu nataka unipe HEKIMA NA BUSARA.
Kwa hiyo Kimungu si sahihi mwanamke kumpeleleza mme wake anachofanya kwani kwa kufanya hivyo anaweza kuibomoa nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe.
Bila shaka mwanamke uliyemtolea mfano ana sababu zaidi ya moja katika kutengana na mme wake na huenda na yeye ana mtu wake ambaye anamridhisha zaidi kuliko mme wake.
Hawa wawili warudi walikotoa ahadi zao za ndoa wakapate usuluhishi. Wakishindwa waende mahakamani ili wakavunje ndoa yao.
 
Neno la Mungu linasema, Mwanamke mpumbavu huibomoa nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe.
Kwa Dini ya Kiisllamu, Mwanaume anaruhusiwa kuoa wake wengi. Wakristo ni mke moja tu.
Kwa asili, Mila na desturi ziliruhusu mwanaume kuwa na mke zaidi ya moja.
Hata kwa wale Wakristo, tukumbe mfalme moja aliyeitwa Suleiman, ambaye alipendwa sana na Mungu na alikuwa anafanya mawasiliano ya moja kwa moja na Mungu.
Siku moja Mfalme Suleiman alimwambia Mungu, nina utajiri mkubwa sana lakini nimeona ni upuuzi mtupu, nina wanawake1000 na Masuria 999 lakini nimeona ni upuuzi mtupu. Mungu alimuuliza unataka nikupe nini? Mfalme Suleman alijibu nataka unipe HEKIMA NA BUSARA.
Kwa hiyo Kimungu si sahihi mwanamke kumpeleleza mme wake anachofanya kwani kwa kufanya hivyo anaweza kuibomoa nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe.
Bila shaka mwanamke uliyemtolea mfano ana sababu zaidi ya moja katika kutengana na mme wake na huenda na yeye ana mtu wake ambaye anamridhisha zaidi kuliko mme wake.
Hawa wawili warudi walikotoa ahadi zao za ndoa wakapate usuluhishi. Wakishindwa waende mahakamani ili wakavunje ndoa yao.
Sawa Mkuu huyo jamaa alidhania pia mkewe kapata mtu mpya lakin alivyochunguza akuona hilo
 
Kuna mambo mengine yanasikitisha sana...

Utakuta wanandoa wapo kwenye ndoa kwa takriban miaka hata 15, inatokea siku moja, mmoja akatoka nje ya ndoa basi wanahangaika kuachana... huo ni ujinga...


Cc: mahondaw
 
Kutokana na nature ya hii kesi,
Kitu unachotakiwa kukifanya ni kumtuliza kwanza huyo jamaa kwa kumpa ushauri nasaha unaolenga kumuondolea hofu na wasi wasi kwanza,
Atulize akili kwanza ,

Then anza kwa kumuuliza maswali fikirishi kama haya,
1. Ikitokea mkeo kakubari kurudiana na wewe je utafanya nini ili kuepuka tatizo kama hili lisijirudie tena?
2. Je ikitokea mkeo akagoma kurudiana na wewe utachukua hatua gani?
3. Je ikitokea ukashindwa kufanya kazi kutokana na msongo wa mawanzo ikatokea ukafukuzwa kazi utafanya nini?

Msikilize vizuri majibu atakayo yatoa nakuhakikishia atakaa sawa,

Baada ya kuwa amekaa sawa,
Hamia upande wa pili kwa mwanamke,

Njia rahisi ya kumsoma huyo mwanamke ni kumuacha kwa muda wa siku arobaini na mbili bila ya kumsemesha wala kufanya chochote, yaani amchunguze mienendo yake nje ndani atumie njia zote za kiintellijensia hapo atapata makibu yafuatayo,
1. Mkewe ni kweli anaumivu ya kusalitiwa (stress)
2. Alikuwa na jiwe la pembeni kisiri
3. Alikuwa na prject ya maana ambayo inapesa ndefu na mumewe hakuwa anaijua na hatakiwi kuijua kwa sababu anakipato cha chini
4. N.k

Nakuhakikishia kira kitu kitafahamika
 
Hapo njia ni moja tu, lets the nature to take place. Kuna mambo unaweza kulazimisha ila kuna mengine huwezi, kwa hili lilipofikia ni kuwa ni lazima waachane. Kuachana huenda kuna faida kwao kuliko kurudiana tena.

Gharama ya kuwarudisha kuishi pamoja inaweza kuwa ndogo sana, Lakini gharama ya kuwafanya wakaishi pamoja kwa Amani, Furaha na Uaminifu ni kubwa mno, na katika hiyo ndoa kwa mahali ilipofikia sasa siioni hiyo hali kabisa. Kujaribu kutumia ujanja ujanja wowote kuweza kumrudisha mke ndani ya nyumba kutaishia kuwaangamiza siku moja, ama kuja kuuana au kuja kujiua.

Ogopa sana mwanamke mwerevu na mwenye msimamo usiyoyumba, yuko tayari kujiangamiza kabla hujamwangamiza na yuko tayari pia kukuangamiza kabla hata ya wewe kufikiria kumwangamiza.
 
Kwa utangulizi ulioutoa nachelea kusema kuwa suala la kucheat mara moja ilikuwa sababu tu inatafutwa.

Hapo mke alishapanga mipango yake na kuamua nani wa kuishi naye baada ya kuwa ameishajijenga kiuchumi na sio yule mume wa chuo!!
 
Kwakua haujani-cc sikupi majibu sasa.

Nazingua.

Mara nyingi mtu anayeachwa kwa kukutwa amezini mara moja tu hua ni kwakua alijifanya hajali, ama kwa kuomba msamaha au kwa kulikwepa kosa. Kumbuka kanuni ya kukataa inasema "Usiseme mimi sijafanya, sema mimi sijafanya ila Castr ndiyo alifanya"

Kuna uongo mweupe, uongo mweupe hua tunautumia tunapotaka kuokoa kitu. Jamaa angeweza kuresort kwenye uongo ili kunusuru ndoa.

Ni psychological fact kua watu wengi tupo excited na habari mbaya kuliko nzuri, uongo wa jamaa ilibidi uwe tailored kwenye habari mbaya.
Habari mbaya huongeza credibility ya habari na kupunguza kuhojiwa kuliko habari nzuri.

Ikiwa binti ana akili means angewekew facts mezani zingemfikirisha.

Kwakua sasa tupo kwenye point of no return, kifuatacho ni kumcounsel mume through his misery aachane na mdada. Kama anaona kuna hata asilimia mbili za kukumbukwa then anayo fighting chance.

Siyo tabia nzuri ila itabidi awatumie watoto kama njia ya kurudi kwa mke, so mume ataomba kurudi na ngao yake iwe ni watoto if possible hata watoto waveshwe gwanda waingie vitani.

Ni mpira uende mchezaji abaki au mpira ubaki mchezaji aende lakini mama arudi nyumbani.
Upo sahihi ila katika ndoa ukitaka uishi na mwanamke bila matatizo mfanye aone kuishi na wewe ni kimbilio lake kimaisha! Akiona huna Jipya kwake achana naye haraka
 
Kwanza nampa pole huyo jamaa kwa kupoteza furaha aliyoizoea ya kuwa na familia yake,Hii kitu inaumwa asikwambie mtu na hapo ndipo ufahamu kuwa ukipoteza kitu ndo hujua thamani yake.

huyo mwanamke alikua akitafuta sababu ya kuwa huru siku nyingi kabla na labda kulikuwa na vikero vidogo vidogo na pengine kubwa kubwa ndani ya hiyo familia

Au pengine jamaa anaomba msamaha bila kumainisha na usikute nae ni janga ajaribu kujirekebisha
 
Kutokana na nature ya hii kesi,
Kitu unachotakiwa kukifanya ni kumtuliza kwanza huyo jamaa kwa kumpa ushauri nasaha unaolenga kumuondolea hofu na wasi wasi kwanza,
Atulize akili kwanza ,

Then anza kwa kumuuliza maswali fikirishi kama haya,
1. Ikitokea mkeo kakubari kurudiana na wewe je utafanya nini ili kuepuka tatizo kama hili lisijirudie tena?
2. Je ikitokea mkeo akagoma kurudiana na wewe utachukua hatua gani?
3. Je ikitokea ukashindwa kufanya kazi kutokana na msongo wa mawanzo ikatokea ukafukuzwa kazi utafanya nini?

Msikilize vizuri majibu atakayo yatoa nakuhakikishia atakaa sawa,

Baada ya kuwa amekaa sawa,
Hamia upande wa pili kwa mwanamke,

Njia rahisi ya kumsoma huyo mwanamke ni kumuacha kwa muda wa siku arobaini na mbili bila ya kumsemesha wala kufanya chochote, yaani amchunguze mienendo yake nje ndani atumie njia zote za kiintellijensia hapo atapata makibu yafuatayo,
1. Mkewe ni kweli anaumivu ya kusalitiwa (stress)
2. Alikuwa na jiwe la pembeni kisiri
3. Alikuwa na prject ya maana ambayo inapesa ndefu na mumewe hakuwa anaijua na hatakiwi kuijua kwa sababu anakipato cha chini
4. N.k

Nakuhakikishia kira kitu kitafahamika
Mwanamke huyu jamaa kamchunguza kagundua hana mtu yoyote tangia walivyotengana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom