Sigara Kali
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 3,623
- 8,428
Serikali ya awamu ya tano chini ya Magufuli ni aina ya serikali inayoendeshwa kwa matukio na kiki
Matatizo mengi yanaibuliwa na kutatuliwa na rais ili apate kiki na kuonekana anaipenda sana nchi na kuwapenda wananchi wake ili azidi kuwaaminisha kachaguliwa kwa lengo la kuwahudumia wananchi
Serikali ya Magufuli ni kama familia ya kambare ,Baba masharubu,mama masharubu na watoto masharubu kila mmoja anataka aonekane mkubwa na mchapa kazi mbele ya Watz
Tatizo la umeme lilianza kulalamikiwa Mtwara na Lindi ambako kuna vyanzo vikuu na madhubuti vya umeme ambavyo ni Gesi,cha ajabu akaenda waziri wa nishati akaonesha masharubu yake ,mikwara kibao na kusema tatizo la umeme liishe,ile anageuza kisogo tu tatizo limeendelea kama kawa
Now tatizo limekua la nchi nzima umeme ni shida ,sasa hii isije kuwa mbinu ya Magufuli na serikali yake ya kutafuta kiki,mwisho ataibuka na kusema tatizo la umeme liishe Mara moja ili wananchi wamsifu kwa kutatua matatizo
Mlikuja na porojo kibao eti mgao wa umeme utakua historia baada ya kukamilika mitambo ya umeme wa gesi ya kinyerezi ,hiyo mitambo imekamilika sasa huu mgao unatoka wapi
Kwa style hii Magufuli usitegemee Sera yako ya Tz ya viwanda itatimia labda viwanda ya kupika gongo,vyerehani vinne na vile vya kuchakata bangi ambavyo havihitaji nishati ya umeme
Na hiyo treni ya umeme inayotaka kuletwa itaendeshwa kwa umeme gani ?
Aibu sana nchi ina zaidi ya miaka 50 chini ya serikali ya CCM lakini bado matatizo kila kukicha aibu sana
N.B Ni wajinga pekee wanaoamini Magufuli na CCM yake italeta maendeleo ya kweli Tanzania
Matatizo mengi yanaibuliwa na kutatuliwa na rais ili apate kiki na kuonekana anaipenda sana nchi na kuwapenda wananchi wake ili azidi kuwaaminisha kachaguliwa kwa lengo la kuwahudumia wananchi
Serikali ya Magufuli ni kama familia ya kambare ,Baba masharubu,mama masharubu na watoto masharubu kila mmoja anataka aonekane mkubwa na mchapa kazi mbele ya Watz
Tatizo la umeme lilianza kulalamikiwa Mtwara na Lindi ambako kuna vyanzo vikuu na madhubuti vya umeme ambavyo ni Gesi,cha ajabu akaenda waziri wa nishati akaonesha masharubu yake ,mikwara kibao na kusema tatizo la umeme liishe,ile anageuza kisogo tu tatizo limeendelea kama kawa
Now tatizo limekua la nchi nzima umeme ni shida ,sasa hii isije kuwa mbinu ya Magufuli na serikali yake ya kutafuta kiki,mwisho ataibuka na kusema tatizo la umeme liishe Mara moja ili wananchi wamsifu kwa kutatua matatizo
Mlikuja na porojo kibao eti mgao wa umeme utakua historia baada ya kukamilika mitambo ya umeme wa gesi ya kinyerezi ,hiyo mitambo imekamilika sasa huu mgao unatoka wapi
Kwa style hii Magufuli usitegemee Sera yako ya Tz ya viwanda itatimia labda viwanda ya kupika gongo,vyerehani vinne na vile vya kuchakata bangi ambavyo havihitaji nishati ya umeme
Na hiyo treni ya umeme inayotaka kuletwa itaendeshwa kwa umeme gani ?
Aibu sana nchi ina zaidi ya miaka 50 chini ya serikali ya CCM lakini bado matatizo kila kukicha aibu sana
N.B Ni wajinga pekee wanaoamini Magufuli na CCM yake italeta maendeleo ya kweli Tanzania