Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 49,022
- 54,306
Salam wadau wa jukwaa pendwa la Dokta.
Kuna jamaa yangu anasumbuliwa sana na mafua kiasi cha kumkosesha raha kabisa na kuna baadhi ya dawa kama Codril,alitumia bila kupata matokeo mazuri ya kupona.
Sasa kuna jamaa yetu mwingine alipomuona mgonjwa akilalamika kwa mafua kutiririka sana
alimshauri dawa hii :-
Achukue Yai moja alipasue kwenye sahau halafu alikoroge vizuri sana mpaka liwe kama uji.
Achanganye na Asali mbichi kiasi sawa na ujazo wa Yai ndani ya sahani.
Pia achanganye na limao/Ndimu kiasi sawa na
Yai,Asali. Halafu huo mchanganyiko ukorogwe kwa pamoja mpaka uwe sawia.
Baada ya hapo uunywe ni dawa ya mafua
na akasema mara unywapo mafua hupona haraka sana. Sasa naomba kwa mtaalam yoyote
hapa jukwaani aliyewahi labda kutumia
Atujuze hapa jukwaani kwa faida ya wote.
NB: Mchanganyiko huo huwa mzuri kwa mujibu wa huyo jamaa unakuwa naladha nzuri kama juisi pia hauna harufu yoyote kwakuwa na limao/ndimu.
Karibu wadau kwa michango mbalimbali hapa.
Kuna jamaa yangu anasumbuliwa sana na mafua kiasi cha kumkosesha raha kabisa na kuna baadhi ya dawa kama Codril,alitumia bila kupata matokeo mazuri ya kupona.
Sasa kuna jamaa yetu mwingine alipomuona mgonjwa akilalamika kwa mafua kutiririka sana
alimshauri dawa hii :-
Achukue Yai moja alipasue kwenye sahau halafu alikoroge vizuri sana mpaka liwe kama uji.
Achanganye na Asali mbichi kiasi sawa na ujazo wa Yai ndani ya sahani.
Pia achanganye na limao/Ndimu kiasi sawa na
Yai,Asali. Halafu huo mchanganyiko ukorogwe kwa pamoja mpaka uwe sawia.
Baada ya hapo uunywe ni dawa ya mafua
na akasema mara unywapo mafua hupona haraka sana. Sasa naomba kwa mtaalam yoyote
hapa jukwaani aliyewahi labda kutumia
Atujuze hapa jukwaani kwa faida ya wote.
NB: Mchanganyiko huo huwa mzuri kwa mujibu wa huyo jamaa unakuwa naladha nzuri kama juisi pia hauna harufu yoyote kwakuwa na limao/ndimu.
Karibu wadau kwa michango mbalimbali hapa.