Huu hapa umri sahihi wa Shilole

kingunge wa jf

JF-Expert Member
Dec 24, 2013
453
418
Leo katika pitapita zangu nikaona nijaribu kueleza kidogo juu ya umri wa dada yangu wa Igunga Zuwena au maarufu kama Shilole.

Nimemkumbuka kwa mambo mawili; Mosi kama mtu ambaye aliwahi kuwa mpangajj wetu pale Igunga akiwa ameolewa mwaka 2000 na 2001. Lakini pili, namna ambavyo imekuwa ni vigumu kwake kusema ukweli juu ya umri wake halisi. Haya mambo mawili ndo yananifanya nimkumbuke.

Bila shaka wale wenyeji wa igunga mjini tutakuwa tunamkumbuka huyu binti si kwa umaarufu wa sasa bali umaarufu wa mme wake wa zaman ambae ni mzazi mwenzie pale Igunga bw. Makala.

Nakumbuka nikiwa nasoma kidato cha kwanza pale Igunga day (2001) Makala na Mkewe Shilole walikuwa wapangaji wetu. Mie nikiwa mtoto mdogo na Shilole akiwa pale kwetu nilikuwa namuona si rika langu kabsa.
Wakati anafanya biashara ya ndizi pale stand tulikuwa na tabia ya kuingia chumbani kwake na kuiba ndizi zake. Na siku moja alitupa Kiminyo baada ya kuona mzigo alioleta umepungua (nifupishe).

Leo hii mimi nmekuwa mtu mzima (miaka 31) lkn pia nikimuangalia mme wake (Makala) nae tayari umri umeenda sana (makadirio ni miaka 38-39).

Pamoja na kwamba shilole hasemi umri wake sahihi na imekuwa ni mtihani mkubwa sana kwake hasa pale anapoulizwa historia yake, basi naweza kusema kwamba Shilole ni Mama wa Makamo. Ni Rika moja na dada angu aliyezaliwa 1981 na wamesoma darasa moja.
Hivyo basi makadirio ya chini ya umri wa shilole ni Miaka 36.


Lakini nampongeza kwa mfanikio aliyonayo mpk sasa lkn nimshauri tu asiteseke kuficha umri, hii itamsaidia pia kuwa huru zaidi.
Asanteni


kingunge wa JF
 
Leo katika pitapita zangu nikaona nijaribu kueleza kidogo juu ya umri wa dada yangu wa Igunga Zuwena au maarufu kama Shilole.

Nimemkumbuka kwa mambo mawili; Mosi kama mtu ambaye aliwahi kuwa mpangajj wetu pale Igunga akiwa ameolewa mwaka 2000 na 2001. Lakini pili, namna ambavyo imekuwa ni vigumu kwake kusema ukweli juu ya umri wake halisi. Haya mambo mawili ndo yananifanya nimkumbuke.

Bila shaka wale wenyeji wa igunga mjini tutakuwa tunamkumbuka huyu binti si kwa umaarufu wa sasa bali umaarufu wa mme wake wa zaman ambae ni mzazi mwenzie pale Igunga bw. Makala.

Nakumbuka nikiwa nasoma kidato cha kwanza pale Igunga day (2001) Makala na Mkewe Shilole walikuwa wapangaji wetu. Mie nikiwa mtoto mdogo na Shilole akiwa pale kwetu nilikuwa namuona si rika langu kabsa.
Wakati anafanya biashara ya ndizi pale stand tulikuwa na tabia ya kuingia chumbani kwake na kuiba ndizi zake. Na siku moja alitupa Kiminyo baada ya kuona mzigo alioleta umepungua (nifupishe).

Leo hii mimi nmekuwa mtu mzima (miaka 31) lkn pia nikimuangalia mme wake (Makala) nae tayari umri umeenda sana (makadirio ni miaka 38-39).

Pamoja na kwamba shilole hasemi umri wake sahihi na imekuwa ni mtihani mkubwa sana kwake hasa pale anapoulizwa historia yake, basi naweza kusema kwamba Shilole ni Mama wa Makamo. Ni Rika moja na dada angu aliyezaliwa 1981 na wamesoma darasa moja.
Hivyo basi makadirio ya chini ya umri wa shilole ni Miaka 36.


Lakini nampongeza kwa mfanikio aliyonayo mpk sasa lkn nimshauri tu asiteseke kuficha umri, hii itamsaidia pia kuwa huru zaidi.
Asanteni


kingunge wa JF
Miaka 38 unasema umri umeenda sana,kwa Mugabe kule mbona ndio kama mtoto wa miaka 8,maana Mugabe anasema yeye bado kijana.
 
Duh! Kwa umri huo hongera yake kwa kuwa na babyface...miaka 35 na kuendelea wengi wao kwa sura tu umri unajieleza.
 
Back
Top Bottom