Jf,siki hizi ni shida...unaweza fafanua hoja yako hii ya kipuuzi?Askofu mkabila kanisa kalifanya mali ya Wachaga
Jf,siki hizi ni shida...unaweza fafanua hoja yako hii ya kipuuzi?Askofu mkabila kanisa kalifanya mali ya Wachaga
Huyo asikofumnafiki sana na mkabila eti majeraha! Ujinga ujinga tu!Askofu mkabila kanisa kalifanya mali ya Wachaga
Hiyo bilion 4 ndo nini?Mungu mkubwa tumeambiwa saratani haitibiki
Hivi hii ni chuki binafsi au kitu gani, ni kipi alichoongea ambacho hakieleweki machoni pa WaTz. Nawaogopa sana watu aina hii ambao hawawezi kuchukua muda wa kutafakari kauli nzito kama hiyo kwa taifa letu.Mjinga sana huyu Askofu. Kanisa lake la KKKT limejaa migogoro ya tamaa ya madaraka na uroho wa wizi wa mali ya Kanisa yeye huyu mjinga anayejiita Askofu yupo. Kwanza wenye akili tunajua alivyopata Uskofu Mkuu kwa njia CHAFU zaidi ya wanasiasa wanavyopata madaraka. Na kama yeye au wafuasi wake wana ubavu, waseme tuyaweke hadharani machafu ya huyu Askofu Shoo halafu tuone kama atakuwa na ubavu wa kusimama hata kwenye njia ya kuelekea Kanisani!!!!!!!!
Laana iko kwa gaidi MboweEndelea kutukana watu wa Mungu ili upigwe laana
Hana legacy ya kukemea kwasababu anaongoza taasisi ya dini yenye kuongoza kwa migogoro Tanzania. Maaskofu wanakaa kwenye vikao hawasalimiani eti watu wa Mungu? Wapi na wapi?Hivi hii ni chuki binafsi au kitu gani, ni kipi alichoongea ambacho hakieleweki machoni pa WaTz. Nawaogopa sana watu aina hii ambao hawawezi kuchukua muda wa kutafakari kauli nzito kama hiyo kwa taifa letu.
Mkuu umesema unayo hayo machafu ya Askofu Shoo tupe au ulikuwa unataniaHana legacy ya kukemea kwasababu anaongoza taasisi ya dini yenye kuongoza kwa migogoro Tanzania. Maaskofu wanakaa kwenye vikao hawasalimiani eti watu wa Mungu? Wapi na wapi?
Mikutano iko kikatiba lakini mnamwaga mitusi sana mpaka Watanzania wote tunaonekana ni jamii isiyostarabika. Rejea kauli ya Mdude Chadema siku Ile pale Tabata BarracudaHuyu mama ni dikteta tu kama wengine. Kama siyo dikteta kwann anakataza vyama vya upinzani kufanya mikutano ya hadhara? Kwann hataki katiba irekebishwe ili itoe haki kwa wote?
ULAANIWE NA UTAKAO WAZAA KAMA UNAWATUKANA VIONGOZI WA DINI TENA BABA ZAKO AU UMRI KUMZIDI BABA YAKO, ULAANIWE MILELEmtoa hukumu ni allah tu, wewe ni nani umuhukumu mwenzio?
una uhakika huyo asikofu sio pumba!
Duh! una akili we jamaaULAANIWE NA UTAKAO WAZAA KAMA UNAWATUKANA VIONGOZI WA DINI TENA BABA ZAKO AU UMRI KUMZIDI BABA YAKO, ULAANIWE MILELE
We unadhani samua hahamuelewaJe kauelewa huo ujumbe unalenga nini? Shida ipo hapo.
Maneno mafupi yenye maana kubwa sanaMhe. Rais Samia anaendelea kuwaponya watanzania wote kwa kuhakikisha haki inatendeka kwa kila mtu bila kujali nani ni nani, mfano mzuri ni kesi ya Sabaya amefungwa miaka 30 jela, vivyo hivyo pia Mwenye tuhuma za Ugaidi kwa lengo la kuvuruga Amani ya nchi akikutwa na hatia lazima afungwe.
Huo ndio utawala wa sheria ambao Rais Samia amedhamiria kuhakikisha unatendeka chini ya utawala wake.
Rais Samia antuponya watanzania kwa kuendelea kuwaletea huduma za kijamii watanzania wa vijijini,
mfano; huduma za afya, ujenzi wa zahanati, miradi ya maji, ujenzi wa madarasa, barabara, umeme vijijini n.k, hayo yote yanafanywa na Serikali ya Rais Samia kwa lengo la kuwaponya watanzania wote.
Ahsante sana Baba Askofu kwa kuendelea kumkumbusha Rais wetu mpendwa.
Hongera nyingi kwa Rais wetu mpendwa.
Itakumbukwa kwamba Mh Rais yuko Mkoani Kilimanjaro kwa Ziara ya kikazi , Ambapo Mh Rais amezindua ujenzi wa jengo litakalogharimu tsh Bil 4 la hospitali ya KCMC ambalo litatumika kwa ajili ya tiba ya saratani .
View attachment 1976447
Tangu lini "kumnyoa mtu kwa wembe" Ikawa tusi? Msitafute uchochoro wa kutokea. Ndiyo maana alivyoenda Marekani kapokelewa na machangu doa akina mangekimambi. Viongozi wote wamemnyali. Kenyatta kapelekwa mpk ikulu na misaada juu.Mikutano iko kikatiba lakini mnamwaga mitusi sana mpaka Watanzania wote tunaonekana ni jamii isiyostarabika. Rejea kauli ya Mdude Chadema siku Ile pale Tabata Barracuda
Ndugu umeandika nini? Tulia Sabaya kashafungwa tayari hatakufyatua yupo Kisongo sasa. Andika vizuri bado una kiwewe?
.Itakumbukwa kwamba Mh Rais yuko Mkoani Kilimanjaro kwa Ziara ya kikazi , Ambapo Mh Rais amezindua ujenzi wa jengo litakalogharimu tsh Bil 4 la hospitali ya KCMC ambalo litatumika kwa ajili ya tiba ya saratani .
View attachment 1976447
Wewe tangu uzaliwe umifanyia nini familia yako? Nafasi ya elimu bila malipo umeitumiaje? Nikikuuliza kuhusu nchi umeipa faida gani nitakuwa nakuonea bure.Huyo Askofu pumba tu.
Kama Sheikh Alhad alivyokuwa mpiga debe wa yule dhalim hadi kufikia hatua ya kumkufuru Mungu na mitume wakePale ambapo baadhi ya viongozi wa DINI wanachagua upande kisiasa....
Hakuna aliyekuzuia kuyaweka hadharani, unaogopa nini na unamwogopa nani, weka tuyasome. Maadamu tu yawe na uhalisia ziwe nganoMjinga sana huyu Askofu. Kanisa lake la KKKT limejaa migogoro ya tamaa ya madaraka na uroho wa wizi wa mali ya Kanisa yeye huyu mjinga anayejiita Askofu yupo. Kwanza wenye akili tunajua alivyopata Uskofu Mkuu kwa njia CHAFU zaidi ya wanasiasa wanavyopata madaraka. Na kama yeye au wafuasi wake wana ubavu, waseme tuyaweke hadharani machafu ya huyu Askofu Shoo halafu tuone kama atakuwa na ubavu wa kusimama hata kwenye njia ya kuelekea Kanisani!!!!!!!!