Naona Samia ameharibu deal zenu za kutesa na kuua Watu. Kwa hiyo yoyote anayehubiri Amani kwenu ni Mpumbavu. Damu ya Binadamu mmekunywa sana nyie Viumbe.Mungu ana akili kuliko Askofu Shoo. Anamjua alivyo mpumbavu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona Samia ameharibu deal zenu za kutesa na kuua Watu. Kwa hiyo yoyote anayehubiri Amani kwenu ni Mpumbavu. Damu ya Binadamu mmekunywa sana nyie Viumbe.Mungu ana akili kuliko Askofu Shoo. Anamjua alivyo mpumbavu!
Nyinyi ndiyo mnaosema mungu yupo ila shetani hayupo .....maana kwenu kila ajiinuaye kwa jina la mungu ni mtu wa mungu.Endelea kutukana watu wa Mungu ili upigwe laana
Singasinga na Rugema.. wameachiwa hao ndiyo waharifu no 1 tz ,sasa huyo mama sa100 ndiyo haki gani anafuata sisi tunajua huu mchezo anaocheza na mkwere na tutaushinda mchana kweupeMhe. Rais Samia anaendelea kuwaponya watanzania wote kwa kuhakikisha haki inatendeka kwa kila mtu bila kujali nani ni nani, mfano mzuri ni kesi ya Sabaya amefungwa miaka 30 jela, vivyo hivyo pia Mwenye tuhuma za Ugaidi kwa lengo la kuvuruga Amani ya nchi akikutwa na hatia lazima afungwe.
Huo ndio utawala wa sheria ambao Rais Samia amedhamiria kuhakikisha unatendeka chini ya utawala wake.
Rais Samia antuponya watanzania kwa kuendelea kuwaletea huduma za kijamii watanzania wa vijijini,
mfano; huduma za afya, ujenzi wa zahanati, miradi ya maji, ujenzi wa madarasa, barabara, umeme vijijini n.k, hayo yote yanafanywa na Serikali ya Rais Samia kwa lengo la kuwaponya watanzania wote.
Ahsante sana Baba Askofu kwa kuendelea kumkumbusha Rais wetu mpendwa.
Hongera nyingi kwa Rais wetu mpendwa.
Siyo watu wa dini, viongozi wa dini kuna namna ya kuwa address, baba yako humwambii huna akili.Duh! una akili we jamaa
so unaamini watu wa dini hawawezi kuwa wajinga?
Lete mchele wako sasaHuyo Askofu pumba tu.