Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,627
- 218,056
Itakumbukwa kwamba Mh Rais yuko Mkoani Kilimanjaro kwa Ziara ya kikazi , Ambapo Mh Rais amezindua ujenzi wa jengo litakalogharimu tsh Bil 4 la hospitali ya KCMC ambalo litatumika kwa ajili ya tiba ya saratani .