MangiMeli_2
Senior Member
- Feb 4, 2019
- 126
- 72
“Nilikuwa na miaka 7 au 8 kipindi hicho. Nilikuwa rafiki wa mchungaji. Siku moja mchungaji akanambia njoo ukae nami tusome pamoja. Kisha tulivyokaa pamoja, mara yakafuata mabusu…kisha yakafuata matendo mengine ya kimwili…mambo yakazidi kuchanganya…Niliogopa kuwaeleza wazazi wangu (matukio hayo) kwa kuwa mchungaji alinambia nikiwaeleza wazazi wangu sitokuwa kama malaika ktk ufalme wa mbinguni”
“Kila uingiapo kanisani lazima niseme Kosa ni langu mie…kosa ni langu mie …kosa ni langu mie peke. Hapana, kosa halikuwa langu!
“Utoto sasa umeniondoka. Kama kanisa halitozungumza lugha yangu, siwezi kuendelea kuwa muumini. (Viongozo) wanasimama na kuongea lugha ya mamia ya miaka iliyopita. Lazima wasikilize hisia za watu, wasikilize kile watu wanachotaka. Wanapaswa waongee lugha ya sasa (kutolinda vitendo viovu vya unyanyasaji wa kingono)”
Huyo ni Brigitte, a survivor of child sex abuse by a chaplain, explains why she is ready to speak now
Video yake hii hapa toka BBC
“Kila uingiapo kanisani lazima niseme Kosa ni langu mie…kosa ni langu mie …kosa ni langu mie peke. Hapana, kosa halikuwa langu!
“Utoto sasa umeniondoka. Kama kanisa halitozungumza lugha yangu, siwezi kuendelea kuwa muumini. (Viongozo) wanasimama na kuongea lugha ya mamia ya miaka iliyopita. Lazima wasikilize hisia za watu, wasikilize kile watu wanachotaka. Wanapaswa waongee lugha ya sasa (kutolinda vitendo viovu vya unyanyasaji wa kingono)”
Huyo ni Brigitte, a survivor of child sex abuse by a chaplain, explains why she is ready to speak now
Video yake hii hapa toka BBC