Watoto 200, weusi wenzangu kutoka Nigeria, Walichanjwa chanjo za majaribio kwa hila, wakaahidiwa kulipwa iwapo watadhurika. 11 wakafa, wengine wakapata madhara ya kupooza na mitidio ya ubongo, kisha wakatapeliwa hata hayo malipo.
Bado Africa hatujifunzi tu, tunalazimisha watu wafanyiwe majaribio haya? Hii ni laana ama ni kitu gani?
Toa mawazo yako kwa njia ijengayo.
Bado Africa hatujifunzi tu, tunalazimisha watu wafanyiwe majaribio haya? Hii ni laana ama ni kitu gani?
Toa mawazo yako kwa njia ijengayo.