Game Theory
JF-Expert Member
- Sep 5, 2006
- 8,546
- 854
Kama mjuavyo wanajeshi wetu ambao wengi wao ni kaka zetu, baba zetu, dada zetu na wajomba wetu wamerudi baada ya kumaliza latest military adventure za JK na MEMBE kule Comoros. Mimi na wenzangu wachache humu JF tuliipinga hii vita from day one kwani hatuamini kuwa unaweza kusperad democracy kwa mtutu wa bunduki na pili tulipinga hii vita kwani JK na serikali yake hawakuwa open kuhusu gharama na mandate ya AU achiliambali legality ya hiyo vita yenyewe according to International law.
In short AU haikutoa pesa kwa ajili ya hiyo vita,South Africa ilichomoa kupeleka wanajaeshi wao na bila kusaghau Senegal nao hawakuwa tayari kurisk maisha ya watu wao kwa ajili ya hii vita. Cha ajabu baadhi ya wana JF wamekuwa mstari wa mbele kupinga matumizi mabaya ya fedha za serikali lakini wako kimya kuhusu gharama zilizotumika kule Comoros...huwa wanajua na majibu ahhh AU ilifund the wholeoperation lakini ukiwa uliza AU imeshindwa kununua Helocopter kule DARFUR wamepata wapi pesa za hii vita hupewi jibu sahihi...au ukiwaambia kuwa AU ilishindwa kupata pesa kwa ajili ya Pan African parliament lakini leo serikali yetu inatuongopea kuhusu gharama zote za vita ya Comoros
Sasa kwenye hili japo I was against this idiotic war lakini ningependa tuwatreat hawa wanajeshi wetu kwa Heshima...imeshindikana vipi kufanya PARADE YA KUWAPOKEA hawa wanajeshi? Hussein Mwinyi kashindwa vipi kutupatia taarifa kamili ya hawa wanajeshi wetu ambao badala ya kutumika ndani ya nchi wanasiasa wameamua kuwatumia kuspread democracy nchi za nje hatujaambiwa wangapi walijeruhiwa, wangapi wamekufa, na failures zipi zilitokea na jinsi gani zinawezakuepukika.
Sisemi sensitive military operations details ziwekwe kwenye public domain lakini nadhani Watanzania deserve better than haya mambo yanayofanywa na HUSSEIN MWINYI, JAKAYA KIKWETE na BERNARD MEMBE
Nahisi labda wanajua kuwa watu wengi watauliza maswali ndio maana wanafanya mambo kisiri siri lakini regardless of anyone's views on this illegal invasion of Comoros JWTZ deserve better than this charade ya HUSSEIN MWINYI
Sasa tunaambiwa kuwa wanajeshi zaidi ya 80 walikufa mbagala na uvumi huu inaendelea kwa kasi kubwa...aliko mheshimiwa waizri haijulikani baada ya kuonekana siku mbili tatu...kana kama hiyo haitoshi TPDF na Meja Jenrali MWAMUNYANGE wamegeuzwa kama vile vikaragosi vya kupokea cheki za milioni 6 na tatu kwa ajili ya mbagala
Hivi kweli tumefikia wareduce hawa wanajeshi wetu to this level of kupokea magunia ya maharagwe?
wizara ya ulinzi wana bajeti kubwa tuuu halafu leo tunaambiwa kuwa hawana means za kuallocate mabomu yaliyobaki kule mbagala hivyo wanaagiza kifaa / Hussein Mwinyi anatuambia eti anataka kutumia SETELAITI toka SOUTH AFRICA...sasa tuamini nini?
Mwisho zaidi ndio nini kuwadhalilisha wanajeshi wetu mbele ya wale wazungu kufanya drill mchana kisa tumepewa yale magari mabovu kwenda Darfur
Huyu jamaa(HUSSEIN MWINYI) kwanza sijui kama alishalipa zile pesa za scholarship ya UTURUKI...by the way aliiipata hiyo nafasi wakati DEDI yake tayari ni rais
In short AU haikutoa pesa kwa ajili ya hiyo vita,South Africa ilichomoa kupeleka wanajaeshi wao na bila kusaghau Senegal nao hawakuwa tayari kurisk maisha ya watu wao kwa ajili ya hii vita. Cha ajabu baadhi ya wana JF wamekuwa mstari wa mbele kupinga matumizi mabaya ya fedha za serikali lakini wako kimya kuhusu gharama zilizotumika kule Comoros...huwa wanajua na majibu ahhh AU ilifund the wholeoperation lakini ukiwa uliza AU imeshindwa kununua Helocopter kule DARFUR wamepata wapi pesa za hii vita hupewi jibu sahihi...au ukiwaambia kuwa AU ilishindwa kupata pesa kwa ajili ya Pan African parliament lakini leo serikali yetu inatuongopea kuhusu gharama zote za vita ya Comoros
Sasa kwenye hili japo I was against this idiotic war lakini ningependa tuwatreat hawa wanajeshi wetu kwa Heshima...imeshindikana vipi kufanya PARADE YA KUWAPOKEA hawa wanajeshi? Hussein Mwinyi kashindwa vipi kutupatia taarifa kamili ya hawa wanajeshi wetu ambao badala ya kutumika ndani ya nchi wanasiasa wameamua kuwatumia kuspread democracy nchi za nje hatujaambiwa wangapi walijeruhiwa, wangapi wamekufa, na failures zipi zilitokea na jinsi gani zinawezakuepukika.
Sisemi sensitive military operations details ziwekwe kwenye public domain lakini nadhani Watanzania deserve better than haya mambo yanayofanywa na HUSSEIN MWINYI, JAKAYA KIKWETE na BERNARD MEMBE
Nahisi labda wanajua kuwa watu wengi watauliza maswali ndio maana wanafanya mambo kisiri siri lakini regardless of anyone's views on this illegal invasion of Comoros JWTZ deserve better than this charade ya HUSSEIN MWINYI
Sasa tunaambiwa kuwa wanajeshi zaidi ya 80 walikufa mbagala na uvumi huu inaendelea kwa kasi kubwa...aliko mheshimiwa waizri haijulikani baada ya kuonekana siku mbili tatu...kana kama hiyo haitoshi TPDF na Meja Jenrali MWAMUNYANGE wamegeuzwa kama vile vikaragosi vya kupokea cheki za milioni 6 na tatu kwa ajili ya mbagala
Hivi kweli tumefikia wareduce hawa wanajeshi wetu to this level of kupokea magunia ya maharagwe?
wizara ya ulinzi wana bajeti kubwa tuuu halafu leo tunaambiwa kuwa hawana means za kuallocate mabomu yaliyobaki kule mbagala hivyo wanaagiza kifaa / Hussein Mwinyi anatuambia eti anataka kutumia SETELAITI toka SOUTH AFRICA...sasa tuamini nini?
Mwisho zaidi ndio nini kuwadhalilisha wanajeshi wetu mbele ya wale wazungu kufanya drill mchana kisa tumepewa yale magari mabovu kwenda Darfur
Huyu jamaa(HUSSEIN MWINYI) kwanza sijui kama alishalipa zile pesa za scholarship ya UTURUKI...by the way aliiipata hiyo nafasi wakati DEDI yake tayari ni rais
Last edited: