Inawezekana wito haukufuata taratibu ndio sababu TRA ikabidi waende wao
Kuna watu wanajua sheria na wakati mwingine unaweza ukawaona jeuri kumbe wanajua namna ya kucheza na loopholes za kisheria
Kuna watu wanajua sheria na wakati mwingine unaweza ukawaona jeuri kumbe wanajua namna ya kucheza na loopholes za kisheria
Usiropoke ndugu. Huyu jamaa aliitwa TRA na aligoma. Matokeo yake Meneja TRA kinondoni alimfuata ofisini kwake