Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,078
- 12,752
š¤£Unataka useme Hadi Rais wetupendwa kawekwa mfukoni na Hussein? Siamini haya,Ngosha huyuhuyu ninayemjua awekwe mfukoni na mtu?
š¤£Unataka useme Hadi Rais wetupendwa kawekwa mfukoni na Hussein? Siamini haya,Ngosha huyuhuyu ninayemjua awekwe mfukoni na mtu?
Mambo mengine nistori tuu za mtaani eti uitwe TRA ugome meneja akufuate kivipi tens awamu hii?Usiropoke ndugu. Angalia hizo picha na mkafanye uchunguzi. Huyu jamaa aliitwa TRA na aligoma. Matokeo yake Meneja TRA kinondoni alimfuata ofisini kwake
Wewe ndiyo unaonekana kuropoka!! Awamu hii wazito wamegeuzwa mashetani sembuse hako kasomali! Kuhusu TRA haiwezi kuwakweli nivistori vya mtaani hivyo na la ukuta simuende mahakamani kisha mseme hamjasaidika huko?Usiropoke ndugu. Angalia hizo picha na mkafanye uchunguzi. Huyu jamaa aliitwa TRA na aligoma. Matokeo yake Meneja TRA kinondoni alimfuata ofisini kwake
Je, kama tayari hizo mamlaka zimo mifukoni mwa msomali kutakuwa na lolote?!Kama una ushahidi basi ni vyema ukawa RAIA mwema kwa kureport vitendo viovu kwa mamlaka husika
Sasa hapo tatizo ni nini? Hii habari inaweza ikawa majungu ,Usiropoke ndugu. Angalia hizo picha na mkafanye uchunguzi. Huyu jamaa aliitwa TRA na aligoma. Matokeo yake Meneja TRA kinondoni alimfuata ofisini kwake
Hiyo pĆ rking ya magari ni yĆ Nani ?Kwahiyo ni uongo ukuta hauja anguka na kuangukia mali za watu na kuziharibu kama picha na video zinavyoonyesha ?
Tatizo hii issue/ ishu umeileta kimajungu na kichonganishi zaidi na kumtakia mabaya mhusika au mhalifu. Linaweza kuwa tatizo la kawaida lakini unavyoliweka na kumhusisha rais, looh kuna mushikeli hapo.Kuna huyu Msomali anaitwa Hussen, nadhani ndio mmiliki wa Sanitas Hospital Mikocheni. Huu jamaa anajiita Mafia, ukimchezea unatoweka. Aliwahi kuitwa TRA akagoma na ilibidi boss wa TRA kinondoni aje kukutana naye
Huyu jamaa alijenga ukuta wa Hospital chini ya Viwango Hakuna nondo hata moja. Ukuta umeanguka umeharibu Mali za Watu. Jamaa ana jehuri sana na amegoma halipi na hakuna wanaloweza kumfanya.
Hili jengo la Hospital litakuja kuuwa watu wengi sana. Tunaomba mamlaka husika waingilie kati. Maana huyu msomali inasemekana hagusiki watu ambao mali zao ziliharibiwa amewatumia watu kuwatisha akiwaambiwa wanyamaze lasivyoatawashugulikia maana yeye ana deal na Rais tu.
View attachment 1642548
View attachment 1642555
Hii stori imetiwa chumvi na mtu mwenye chuki na huyo msomali japo ni kweli kuna matatizo yapo. Mafia msomali Tanzania ? Uliona wapi!!!!Ukiwa msomali halafu unajiita Mafia na bado serekali inakuangalia tuu...ujue kuna shida sehem
Ukisikia wivu na majungu ndio wewe.Kuna huyu Msomali anaitwa Hussen, nadhani ndio mmiliki wa Sanitas Hospital Mikocheni. Huu jamaa anajiita Mafia, ukimchezea unatoweka. Aliwahi kuitwa TRA akagoma na ilibidi boss wa TRA kinondoni aje kukutana naye
Huyu jamaa alijenga ukuta wa Hospital chini ya Viwango Hakuna nondo hata moja. Ukuta umeanguka umeharibu Mali za Watu. Jamaa ana jehuri sana na amegoma halipi na hakuna wanaloweza kumfanya.
Hili jengo la Hospital litakuja kuuwa watu wengi sana. Tunaomba mamlaka husika waingilie kati. Maana huyu msomali inasemekana hagusiki watu ambao mali zao ziliharibiwa amewatumia watu kuwatisha akiwaambiwa wanyamaze lasivyoatawashugulikia maana yeye ana deal na Rais tu.
View attachment 1642548
View attachment 1642555
Hizo ngonjera tuNi wewe wasema. Ile shule waliokataa kuvaa sare wakalimwa kodi?
Kuna huyu Msomali anaitwa Hussen, nadhani ndio mmiliki wa Sanitas Hospital Mikocheni. Huu jamaa anajiita Mafia, ukimchezea unatoweka. Aliwahi kuitwa TRA akagoma na ilibidi boss wa TRA kinondoni aje kukutana naye
Huyu jamaa alijenga ukuta wa Hospital chini ya Viwango Hakuna nondo hata moja. Ukuta umeanguka umeharibu Mali za Watu. Jamaa ana jehuri sana na amegoma halipi na hakuna wanaloweza kumfanya.
Hili jengo la Hospital litakuja kuuwa watu wengi sana. Tunaomba mamlaka husika waingilie kati. Maana huyu msomali inasemekana hagusiki watu ambao mali zao ziliharibiwa amewatumia watu kuwatisha akiwaambiwa wanyamaze lasivyoatawashugulikia maana yeye ana deal na Rais tu.
View attachment 1642548
View attachment 1642555
Ina maana meneja wa TRA amewekwa mfukoni na msomali. Heheheee.Usiropoke ndugu. Huyu jamaa aliitwa TRA na aligoma. Matokeo yake Meneja TRA kinondoni alimfuata ofisini kwake
Polisiccm watamtafuta mtoa taarifa ili wampelekee msomaliPolisi waingie field kuchunguza hayo malalamiko na sio kumtafuta mtoa habari.
Kipindi niko TRA nilikwenda kudai Kodi sehemu. Kufika nikamkuta mkurugenzi tukasalimiana halafu nikamwambia kilichonipeleka.Utasikia yupo kwenye system...
Ila uhalisia Kampeni zinammaliza sanaa
Ni kazi mmojawapo ya Tra kufuata nyumbani au ofisiniUsiropoke ndugu. Huyu jamaa aliitwa TRA na aligoma. Matokeo yake Meneja TRA kinondoni alimfuata ofisini kwake
Kama ni habari ya kutunga tu anamkomoaje mtu?? Kabla ya kufanyia kazi, habari si itafanyiwa uchunguzi na mamlaka husika na kujulikana kuwa ni ya kutungwa!Lakini sijajua unaunganishaje ukuta kuanguka/ kuangukia mali zako na Umafia...Hospital ya Sanitas na yenyewe umeitaja huku ukijua ama kutojua Yote sawa kwamba suala hapa ni ukuta kuangukia mali zako je Hospital imehusikaje??
why unasema ana deal na Rais umemreport au umetoa taarifa popote na hatua hazijachukuliwa??? au ni wewe tu unajitungia story mtandaoni umkomoe mtu.??
simjui huyu mtuhumiwa ila kama una issue nae fuata sheria za nchi..fuata sheria za nchi kulalamika usikusanye vimaneno tu....
Kwahiyo ni uongo ukuta hauja anguka na kuangukia mali za watu na kuziharibu kama picha na video zinavyoonyesha ?