Katiba haijatamka kwamba ili uwe mbunge lazima uzaliwe eneo husika! Mkuranga ni sehemu ya JMT kama zanzibar. Think globallyNyerere aliuza utu na utaifa wetu kwa Wazanzibari. Leo mwanafunzi wa kizanzibari anapata mkopo wa elimu ya juu kutoka bodi ya mikopo ya elimu ya juu kwa kodi za Wabara.
Yote tisa kumi ni kivipi Mzanzibari anakuwa Mbunge sehemu ya Bara?
HUSSEIN MWINYI aliweza vipi kuwa MP na jimbo lake la uwakilishi kuwa Mkuranga sehemu ya Bara?
Muulize baba yake mzee Mwinyi vipi alikuwa Raisi wa Zanzibar wakati yeye sio Mzanzibari?Nyerere aliuza utu na utaifa wetu kwa Wazanzibari. Leo mwanafunzi wa kizanzibari anapata mkopo wa elimu ya juu kutoka bodi ya mikopo ya elimu ya juu kwa kodi za Wabara.
Yote tisa kumi ni kivipi Mzanzibari anakuwa Mbunge sehemu ya Bara?
HUSSEIN MWINYI aliweza vipi kuwa MP na jimbo lake la uwakilishi kuwa Mkuranga sehemu ya Bara?
Kote ni TanganyikaGwajima amekuwaje Mbunge wa Kawe wakati ni Msukuma?
Hakuna rais wa bara, ni rais wa TanzaniaMbona ni jambo la kawaida sana...! Leo hii bara Raisi ni Mzanzibar, na Zanzibar Raisi ni Mbara wa Mkuranga. Kwa hiyo ni bila bila.! Fanya yako bwashee kazi Iendelee....
Halafu eti wanataka Zanzibar yao na wa bara wabaki na Tanganyika yao! Sikiliza hiyoUkitaka uwajue Wazanzibari walivyo nenda wewe ukagombee Mwanakwerekwe, au katafute tu Kiwanja Zanzibar au Pemba. Wanatuona sisi Machogo sana, wao wamejazana Mbagala na Kigamboni.
Halafu eti wanataka Zanzibar yao na wa bara wabaki na Tanganyika yao! Sikiliza hiyo
Asubutu🥺Kwani Nchi yetu inaitwa Zanzibar au Pwani Mkuranga au ni Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ( Zanzibar ikiwa imemezwa ) ndani kama ni Kiashirio tosha Sisi ni Wamoja na Mtu ana Uhuru wa Kuishi popote na hata Kugombea Uongozi wowote pale akiamua?
Akikujibu nitagGwajima amekuwaje Mbunge wa Kawe wakati ni Msukuma?
Na yule mpemba aliyegombea Kinondoni kupitia Chadema mbona hajaulizwa kwanini aligombea Kinondoni wakati yeye ni mpembaFamilia yao ni asili ya Uzaramoni, zamani ikiwa wilaya ya Kisarawe kabla kugawanywa kuwa wilaya Y Mkuranga na walihamia Zanzibar baadhi wengine bado wapo Mkuranga. Baba yake alikuwa ana nyumba Yombo dovya kipindi akiwa raisi mama yake aliishi huko.
Nadhani kuna jambo inapasa watu wali fahamu kwenye huu Mungano ukiwa wa kweli au vurugu tupu.Nyerere aliuza utu na utaifa wetu kwa Wazanzibari. Leo mwanafunzi wa kizanzibari anapata mkopo wa elimu ya juu kutoka bodi ya mikopo ya elimu ya juu kwa kodi za Wabara.
Yote tisa kumi ni kivipi Mzanzibari anakuwa Mbunge sehemu ya Bara?
HUSSEIN MWINYI aliweza vipi kuwa MP na jimbo lake la uwakilishi kuwa Mkuranga sehemu ya Bara?
He ?kidogo nucheke kwa sautiGwajima amekuwaje Mbunge wa Kawe wakati ni Msukuma?
Japo ni kweli Mzee Ali Hassan Mwinyi hakuwa Mzanzibari kwa kuzaliwa, kwani alihamia Zanzibar, akawa ni Mkaazi wa Zanzibar, akasoma Zanzibar, akao Zanzibar tena wakeze wote wawili, Bi Khadija na Bi. Sitti wote ni Wazanzibari, hivyo Dr. Hussein Mwinyi ni Mzanzibari kamili.
P