Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,761
- 71,145
Hivi mnadhani ndani ya ccm hakuna wenye akili? WAPO. Ila tuu wanaamua kujivua ufahamu kwa sababu wazijuazo wenyewe.
cc. Wakudadavuwa
cc. Wakudadavuwa
kumbe ni mtu wa haki wewe, anayestaili kusifiwa asifiwe, sasa nitabadili mtazamo juu yako. Nimependa pia ile mada yako juu ya ukaidi Tanzania. Sometimes we need to be neutral to defend our nation. Ni juu ya watoto wetu na wajukuu wetu.Ulipomsikiliza hapa kapinga nini?
Nimekuelewa sanaa kwa hilo!!! Tuna shida sisi watanzania......hata kwenye ukweli tunatanguliza tumbo....akili imehamia tumboni!!! Wanasiasa hovyo kabisaa.....sitaki kuwasikia najuta kuwajua!!!Huyu jamaa hana IQ ya mtanzania halisi,ana asili ya sehemu nyengine na ndio maana yuko vizuri
Labda la kichwani mwakoHuyu ni hazina ya taifa
Ww ungekuwa huru kimawazo usingemshabikia yule jamaa wa monduli.
Tupia akili hata kalio lako kidogo utajua huyu jamaa anaongea kwa data bila mihemukoAnawafurahisha mabosi waki wake Rost na Low kwa kuwa mpinzani wa kila kitu
Acha chuki na mwogope MunguWw ungekuwa huru kimawazo usingemshabikia yule jamaa wa monduli.
Anawafurahisha wananchi!Anawafurahisha mabosi waki wake Rost na Low kwa kuwa mpinzani wa kila kitu
Huyu kijana ukifuatilia michango yake bungeni yuko tofauti sana na wenzie wa chama chake! Hapigi vijembe au kuimba taarabu, yeye anakata issues mpaka utafurahi kumsikiliza! Laiti wangekuwa wengi kama yeye huko chamani!!
Kwangu mimi huyu ndio mbunge namuona bora zaidi ndani ya CCM
Anamawazo huru sio mtumwa wa chama
Ila wasiwasi wangu nikwamba kipindi kijacho wanaweza wakamstaafisha siasa za bungeni
Huyu ni hazina ya taifa,sio mfia chama ni mfia watanzania,hata watoto wake hawataona aibu kumtambulisha baba yao mbele za wenye akili,
Amevaa viatu vya Filikunjombe(Mungu amlaze mahali pema kabisa peponi )
Huo ndio ukweli.Si mnasema sio mbongo huyu!
Uraia wake vipi?Ni mzuri katika kuwasilisha hoja. Tatizo ni background yake anaishi na amezungukwa na Mafisadi Papa.
Umeona ndugu zako wa chama cha kijani au makinikia(ccm) walivyo weupe kichwani? ccm wana vihoja vyepesi mno hata mtoto wa chekechea kawazidi.wao kazi yao nikupiga makofi tuu na kusema ndioooooo.ukiwapa nafasi yakuongea ndio wanadhihirisha upumbavu wao.Ulipomsikiliza hapa kapinga nini?