Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,615
Nimeshashiriki Chaguzi nyingi naelewa, Hawa wanaotoaga mapovu nyakati za Uchaguzi wanakuwa 'wamesetiwa' na wanaotarajia kugombea. Lengo ni kuonekana ni wapinzani wa kweli, halafu watapewa forms kisha watafanya kwa makusudi some irregularities ili wakataliwe na tume au wawekewe mapingamizi, hatimaye 'mwenye jimbo' apite bila kupingwa