KisakoKivuyo
Senior Member
- Mar 28, 2012
- 151
- 45
ndugu wanajamii forum kuuliza sio ujinga. nimekuwa kwenye mahusiano na binti fulani wa chuo kimoja hapa nchini na hali inavyoonekana amenizimikia na kwangu ni dalili njema hasa kwa kipindi hiki ninachotafuta wife wa kuishi nae. kinachonishtua amekua akiniita 'husband material' and to be honest that don't sit well with me. nahisi ameniona -----, do we have husband material in this world? mi nimezoea wife material, naomba ushauri!