eliakeem
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 15,482
- 13,588
Kenya haijajipanga, njaa imekuwa tishio kwa nchi. Bei za vyakula zinazidi kupanda kila uchwao. Hakuna tumaini kwamba kuna siku zitashuka. Tatizo haliko kwenye majanga ya asili kama ukame, bali ni kuto jipanga. Kutumia ardhi kubwa kulima mazao ya kusafirisha nje ya nchi, ilhali, wananchi wakikosa mazao ya chakula. Pia pesa za kigeni ambazo zinapatikana kwa kuuza mazao nje hazitumiki kununua chakula kwa ajili ya wananchi wanaokufa kwa njaa. Hivyo kupelekea theluthi ya wakenya kuathiriwa na baa la njaa.
Soma zaidi:
Soma zaidi:
News
Latest news headlines from Kenya, Africa and around the world. Check out today’s most recent and up-to-date news coverage, videos and photos at Nation.Africa
www.nation.co.ke