Huna kesi

P I M

Senior Member
Feb 16, 2011
139
24
HAPA KAZI IPO:
Jaji: Nakuhukumu kwa
kukutwa na mitambo ya
kutengenezea gongo.
MTUHUMIWA: Lakn ni
mitambo tu siyo gongo
mheshimiwa!
JAJI: Hicho ni kidhibiti
tosha kabisa!.
MTUHUMIWA: Basi
nihukumiwe pia kwa kosa
la kubaka.
JAJI: Kumbe ulibaka pia!!?
MTUHUMIWA: Hapana,
cjabaka ila hapa ninacho
kifaa cha kubakia.
JAJI: kipo wapi ?
MTUHUMIWA: hiki hapa.
Jamaa kafungua zipu na
kumuonyesha hakimu.
JAJI: UKO HURU.
 
HAPA KAZI IPO:
Jaji: Nakuhukumu kwa
kukutwa na mitambo ya
kutengenezea gongo.
MTUHUMIWA: Lakn ni
mitambo tu siyo gongo
mheshimiwa!
JAJI: Hicho ni kidhibiti
tosha kabisa!.
MTUHUMIWA: Basi
nihukumiwe pia kwa kosa
la kubaka.
JAJI: Kumbe ulibaka pia!!?
MTUHUMIWA: Hapana,
cjabaka ila hapa ninacho
kifaa cha kubakia.
JAJI: kipo wapi ?
MTUHUMIWA: hiki hapa.
Jamaa kafungua zipu na
kumuonyesha hakimu.
JAJI: UKO HURU.

hahahahahahahaha baadi ya hapo nafungua mashtaka ya kudhalilishwa kuwa mimi ni mtengeneza gongo wakati siyo.
 
HAPA KAZI IPO:
Jaji: Nakuhukumu kwa
kukutwa na mitambo ya
kutengenezea gongo.
MTUHUMIWA: Lakn ni
mitambo tu siyo gongo
mheshimiwa!
JAJI: Hicho ni kidhibiti
tosha kabisa!.
MTUHUMIWA: Basi
nihukumiwe pia kwa kosa
la kubaka.
JAJI: Kumbe ulibaka pia!!?
MTUHUMIWA: Hapana,
cjabaka ila hapa ninacho
kifaa cha kubakia.
JAJI: kipo wapi ?
MTUHUMIWA: hiki hapa.
Jamaa kafungua zipu na
kumuonyesha hakimu.
JAJI: UKO HURU.

Hahahahaha
 
Back
Top Bottom