P I M
Senior Member
- Feb 16, 2011
- 139
- 24
HAPA KAZI IPO:
Jaji: Nakuhukumu kwa
kukutwa na mitambo ya
kutengenezea gongo.
MTUHUMIWA: Lakn ni
mitambo tu siyo gongo
mheshimiwa!
JAJI: Hicho ni kidhibiti
tosha kabisa!.
MTUHUMIWA: Basi
nihukumiwe pia kwa kosa
la kubaka.
JAJI: Kumbe ulibaka pia!!?
MTUHUMIWA: Hapana,
cjabaka ila hapa ninacho
kifaa cha kubakia.
JAJI: kipo wapi ?
MTUHUMIWA: hiki hapa.
Jamaa kafungua zipu na
kumuonyesha hakimu.
JAJI: UKO HURU.
Jaji: Nakuhukumu kwa
kukutwa na mitambo ya
kutengenezea gongo.
MTUHUMIWA: Lakn ni
mitambo tu siyo gongo
mheshimiwa!
JAJI: Hicho ni kidhibiti
tosha kabisa!.
MTUHUMIWA: Basi
nihukumiwe pia kwa kosa
la kubaka.
JAJI: Kumbe ulibaka pia!!?
MTUHUMIWA: Hapana,
cjabaka ila hapa ninacho
kifaa cha kubakia.
JAJI: kipo wapi ?
MTUHUMIWA: hiki hapa.
Jamaa kafungua zipu na
kumuonyesha hakimu.
JAJI: UKO HURU.