not found 404
JF-Expert Member
- Oct 17, 2017
- 322
- 170
KUNA WATU TUNATUMIA NA WAKE ZETU HIZI AKAunt
Hahahah katumwa na ManyaunyauShida yako ni nini hadi ufukue makaburi?, Si bure ! lazima utakuwa mwanga! kwa ushauri tu, ukisoma uzi mara moja humu usiurejelee tena wal usitafute uzi mwingine related na huo. unless of course umetumwa kutoka Kijitonyama
Dah..... Pacha wa makhirikhiri utawajua tu....Hahahah katumwa na Manyaunyau
Humu utasikia,nina gari,nina degree sijui ni centigrade! ,wengine utasikia nafanya kazi kwenye shirika moja kubwa hapa mjini....baada ya week anakuja tena na uzi mwengine...."natafuta kazi yoyote iliyo halali elimu yangu darasa la saba"Lakini uwongo mwingine duh...unakuwa too much aisee!
NYANI NGABUYupo mmoja zamani sana alisema anasoma masters ulaya na yupo ukouko kuna siku kajisahau kadai yeye anaishi bongo kumkumbusha akasema anasoma online kumbana sana akaanza mitusi km kawaida yake.
Huyohuyo kuna siku anasema yeye sio mbongo anajisahau anasema baadae yeye mbongo.
Huyohuyo kuna siku yeye in shabiki wa simba akijisahau anasema shabiki wa yanga sasa jiroge umkosoe atatoa mitusi na mikashfa kibao halafu yeye ndie mwenye IQ kubwa kupita watu wote humu JF.
GENTAMYCINENYANI NGABU
Liongo sana lile lijitu,issue ya lissu lilidai wanatuhadaa tu ya kuwa muda wowote anakata roho sijui leo linajisikiaje,GENTAMYCINE BHANAYupo mmoja zamani sana alisema anasoma masters ulaya na yupo ukouko kuna siku kajisahau kadai yeye anaishi bongo kumkumbusha akasema anasoma online kumbana sana akaanza mitusi km kawaida yake.
Huyohuyo kuna siku anasema yeye sio mbongo anajisahau anasema baadae yeye mbongo.
Huyohuyo kuna siku yeye in shabiki wa simba akijisahau anasema shabiki wa yanga sasa jiroge umkosoe atatoa mitusi na mikashfa kibao halafu yeye ndie mwenye IQ kubwa kupita watu wote humu JF.
Kuna jamaa kasema hao wana ndimi mbili...Humu utasikia,nina gari,nina degree sijui ni centigrade! ,wengine utasikia nafanya kazi kwenye shirika moja kubwa hapa mjini....baada ya week anakuja tena na uzi mwengine...."natafuta kazi yoyote iliyo halali elimu yangu darasa la saba"
Ahahaa...Kuna jitu humu anajifanya mwanamke tena kwenye busaraaa watu wanamshobokea, kwa kuwa na hekima, si unajua ni mkongwe humu. Nikinuona matambala kichwani nacheka.
Mwaka 2015 nikaingia chimbo ahaaa ni lijianaume maana lilitesa sana kwenye kampeni. Ikabidi nifatilie nyooo!
Yees, hahha, mke anachepuka POLITICS,MIM MMUNdio mapenzi mubashara hayo...?!?!
Huyo jamaa ana mikwara, ni kama nyuki wa mashine...Huyo anajiita GENTAMYCINE hana tusi lolote jipya,anaogopwa tu na akitukana nawe mtukane vile vile uone kama hajakambia..kwanza anakera sana uandishi wake lazma maneno aweke mawili mawili na alama za fungua semi sijui aliemuambia hatukusoma humu nani..
Mtaje basiii
Ana kipaji cha kuandikaHuyo anajiita GENTAMYCINE hana tusi lolote jipya,anaogopwa tu na akitukana nawe mtukane vile vile uone kama hajakambia..kwanza anakera sana uandishi wake lazma maneno aweke mawili mawili na alama za fungua semi sijui aliemuambia hatukusoma humu nani..