MAHANJU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 5,244
- 7,966
Kuna sababu nyingi sana za kuwaambia kua mtakwama sana kukivuruga chama na serikali, sababu kuu ni hizi;
1.Ninyi ni wageni kwenye chama hamjui historia na itikadi za chama nyie.
2.Mmejaa visasi na roho mbaya
3.Dola ni kubwa kuliko kikundi chenu
4.Chama ni kikubwa kuliko nyie
5.Kuna wakati ni muhimu kukilinda chama kuliko watu watakaopita ambao wengine huenda wamesajiliwa kwingine.
Kwahiyo hamuwezi kushindana na mtu na wala kama mna mtazamo hasi na viongozi wa chama na serikali mtaondoka mmoja mmoja baada ya mwingine.
Ninyi ndio mliokuwa mnaendekeza majambazi ndani ya serikali kwa kivuli cha kukisaidia chama, hivi kina Sabaya na kundi lake hawakua wahuni ni kina nani tukuulize wewe inayeita watu wahuni?
Mama Samia .....kazi iendelee!
1.Ninyi ni wageni kwenye chama hamjui historia na itikadi za chama nyie.
2.Mmejaa visasi na roho mbaya
3.Dola ni kubwa kuliko kikundi chenu
4.Chama ni kikubwa kuliko nyie
5.Kuna wakati ni muhimu kukilinda chama kuliko watu watakaopita ambao wengine huenda wamesajiliwa kwingine.
Kwahiyo hamuwezi kushindana na mtu na wala kama mna mtazamo hasi na viongozi wa chama na serikali mtaondoka mmoja mmoja baada ya mwingine.
Ninyi ndio mliokuwa mnaendekeza majambazi ndani ya serikali kwa kivuli cha kukisaidia chama, hivi kina Sabaya na kundi lake hawakua wahuni ni kina nani tukuulize wewe inayeita watu wahuni?
Mama Samia .....kazi iendelee!