chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 11,983
- 20,631
Humphrey na kundi lake la Wana ccm mtandaoni walikuwa wanapeana posho kusaka wanaomkosoa JP na serikali yake, watu wengi waliokamatwa na kushitakiwa ni kazi ya Humphrey na kikosi kazi chake, na aliomba fungu maalum, Leo walewale aliokuwaa awapelekea majina ndio wanamla
N.B: alitishia ma RPC na OCD na wanasheria wa serikali kwamba atawasema kwa baba yake wasipopeleka mashtaka
N.B: alitishia ma RPC na OCD na wanasheria wa serikali kwamba atawasema kwa baba yake wasipopeleka mashtaka