mzeewaSHY
JF-Expert Member
- Aug 31, 2021
- 8,522
- 8,158
Wapo wengi tu huku uraiani waliopuuzwa na ccm watamsapoti kama kweli atakuwa smart, lakini nadhani hatokuwa na huo ujasiri !! TusubiriPolepole popote ulipo, U R A NOBODY, huna tofauti na gunia la viazi Mabibo au ndizi, hakuna anayejali zimetoka wapi za nani! Wananunua kutumia.
Polepole once upon a time, ujue wewe ni wa hapo zamani za kale. Huingia hata kwenye kundi la ya kale dhahabu.
Hakuna mtu aweza kusema anakumisi huku uraiani,
Everyday is Saturday................................😎