Elvis Legacy
JF-Expert Member
- Aug 10, 2017
- 3,332
- 4,581
Safi sana kijana mzalendo Polepole.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi kuna mtanzania mzalendo kama Humphrey polepole?
Huyu jamaa ni mzalendo kweli wa nchi yake japo ni chama cha mapinduzi lakini ni mzalendo
Hawa ni aina ya ccm ya kina nyerere yaani wale wanaccm wenye uzalendo na utaifa na walobaki nchini
Kiukweli I declare interest kwamba namkubali pole pole sana
Hii nchi inahitaji kina Polepole kama 50 hivi
huyu alitakiwa awe waziri kabisa au mshauri wa rais
Kwa hizi hoja kuna wa kumpinga huyu Jamaa? Anzia dk ya 14 hapo l's ?
Hivi kuna mtanzania mzalendo kama Humphrey polepole?
Huyu jamaa ni mzalendo kweli wa nchi yake japo ni chama cha mapinduzi lakini ni mzalendo
Hawa ni aina ya ccm ya kina nyerere yaani wale wanaccm wenye uzalendo na utaifa na walobaki nchini
Kiukweli I declare interest kwamba namkubali pole pole sana
Hii nchi inahitaji kina Polepole kama 50 hivi
huyu alitakiwa awe waziri kabisa au mshauri wa rais
Kwa hizi hoja kuna wa kumpinga huyu Jamaa? Anzia dk ya 14 hapo l's ?
Huyu huyu anayesema we unajua v 8 ?Kwani kufufua treni, na kujenga steglaz na kuwanyoosha kina acacia unadhan ni ushauri wa nani?
Hayo ya kwenu wenyewe huko CCM na tamaa zenu za ubunge wa vitu maalum. Na wewe na hiyo combination ya viruses uliobebeshwa hata ARV zitadunda na huku marinda walishakufumua sijui utaponea wapi, unasubiria tani sita za udongo tu.Usiniambie.?
Ulikubalije sasa si mngeenda kupima kwanza?
Na Mimi huwaza Kama wewe.Itoshe tu kusema kwamba huyu comrade Polepole no hazina iiliyobaki kizazi hiki yenye chemistry ya Unyerere na u Jpm!
Time Will tell.
Siku moja tutashuhudia akikagua gwaride la uapisho.
Ukivimba pusuka tuu!
Mshenzi sana..Uzalendo wa kuwaambukiza watu ukimwi makusudi. Ameumiza wadada wa CCM wengi akiwaahidi ubunge wa viti maalum. Nunda kabisa huyo
HahahahahahahahahahahahBH watu mna majibu hatari sanaaTuliza mshono usikute na wewe ameshakuambukiza vimelea kapime kwanza ndiyo urudi
Hivi ninyi watu mnalaana? Sasa unapinga kipi ktk aliyoyaongea?Pole pole yupi?? Yule wa tume ya jaji Warioba au huyu aliyefurushwa juzi huko lumumba??
Haya tuambie mzalendo ni nani? Mzee wa MIGA au gaidi aliyesema lazima tuchanjwe nchi nzima?Labda awe nzalendo, ila uzalendo kwa Polepole bado.
Sema tu anatumia akili ndogo tu kuwateka wale ambao hata hawana akili kabisa
Haya tuambie mzalendo ni nani? Mzee wa MIGA au gaidi aliyesema lazima tuchanjwe nchi nzima?
Na laaanaa pia imuangukie mama yako kwa kutuletea limsukule kama wewe pumbavu!!Adabu atakushikisha bibi yako
Hivi kuna Mtanzania mzalendo kama Humphrey polepole?
Huyu jamaa ni mzalendo kweli wa nchi yake japo ni chama cha mapinduzi lakini ni mzalendo
Hawa ni aina ya CCM ya kina Nyerere yaani wale wanaccm wenye uzalendo na utaifa na walobaki nchini
Kiukweli I declare interest kwamba namkubali Polepole sana
Hii nchi inahitaji kina Polepole kama 50 hivi
huyu alitakiwa awe Waziri kabisa au mshauri wa Rais
Kwa hizi hoja kuna wa kumpinga huyu Jamaa? Anzia dk ya 14 hapo l's ?