Wakati hao ndio role models wake. Why awe against nao?Kagame alisema hata ongeza muda na alipo ulizwa mara kadhaa alisisitiza hataongeza muda, kuna yule babu Museveni mwaka 2006 alisema hatogombea tena lakini bado anang'ang'ania...
Huyu ni yule johnthebaptist au ni Yohana Mbatizaji? Kama ni yeye basi hongera zake. Maendeleo hayana hayo.Juma Nkamia ni mstaafu
Ally Kessy ni mstaafu...
Many times anavunja ahadi, many times anavunja katibaMagufuli hataongeza muda, na kasema hili mara nyingi.
Ameshagundua kwamba urais si kitu rahisi kama alivyofikiria awali. Anaombea miaka yake ipite astaafu...
Magufuli hataongeza muda, na kasema hili mara nyingi.
Ameshagundua kwamba urais si kitu rahisi kama alivyofikiria awali. Anaombea miaka yake ipite astaafu...
akina Mzee Halima MdeeHiyo yote michezo imepangwa...muda si mrefu utaona wananchi waliopangwa wanaingia barabarani kuandamana wakitaka Magufuli aongezewe muda.
Wapinzani kama wapo.....waache kuogopa hisia bali waanze maandalizi ya 2025....! Muda hauchelewi. Itafika muda chama tawala kimejiandaa kwa kuwa na candidate mwingine sahihi, upinzani hawaelewi waungane au wasiungane, hawajui nani awe mgombea, hawajui kauli mbinu ni ipi...? Ndio unafka wakati huyu anaimba ubwabwa,Huyu anasema Bata na huyu ananadi Bata Demokrasia....!!!
Tukienzi kiswahiliJuma Nkamia ni mstaafu
Ally Kessy ni mstaafu
Jah people ameishia darasa la pili
Musukuma ameishia darasa la saba
Babu Tale ameishia madrassa.
Hawa hawawezi kumshawishi Dr Magufuli aongeze mihula.
Maendeleo hayana vyama!
Mimi nipo hapa Kampala hivyo hii habari ni kama marudio kwani hata sisi waganda tuliwahi kuambiwa hayo
Andika,nchi ni yako hii,si ya CCM na TIS tu.Yani natamani niandike kitu ila nashindwa
Wewe msaulifu sana kwanza alisema kazi ya urais ni ngumu miaka mitano inatosha, baadaye akachukua fomu peke yake akamwekea mizengwe Membe asigombee, kwenye kampeni akadai kwa nini tunamnyima miaka mitano tena, akasahau alishasema kazi ya urais ni ngumu na miaka mitan inatosha.Magufuli hataongeza muda, na kasema hili mara nyingi.
Ameshagundua kwamba urais si kitu rahisi kama alivyofikiria awali. Anaombea miaka yake ipite astaafu...