Humphrey Polepole njoo umalize huu mchezo wa kitoto (Hoja za CAG, Zitto na Mbowe)

mam hapendi hayo mambo ndiyo maana hajjibu anakwennda na upepo unapoeleke sisa ni timing
Mama hana time na wanafiki..
IMG_20210328_212011.jpg
 
Humphrey Polepole mimi nakuambia ukweli kabisa kwamba unahitajika uwanjani kuja kumalizana na hoja za CAG, Zitto Kabwe na Freeman Mbowe.

Mbona mchezo huu kwako ni wakitoto tu na kwako unahitaji press conference moja tu ya dakika 45 kumzima CAG, Zitto na Mbowe.

Mbona kupindi cha Magufuli kulikuwa hakuna CAG yeyote aliyekuwa anakusumbua. Kipindi hicho ilikuwa CAG akiweka ugoko wewe unaweka jiwe. Lazima CAG avimbe.

Huyu Zitto na Mbowe kipindi cha Magufuli uliwamudu sana ilifikia hatua mpaka 'uliwanunua' madiwani wao na wabunge wao kwa bei chee sana. Sasa wameanza tena kufurukuta.

Mimi najua kwako hili ni suala dogo sana hebu piga press conference moja matata sana ambayo itatoa vumbivumbi hili lililotanda angani.

Au ni kweli haya ninayoyasikia kwamba wewe mwenyewe mguu nje mguu ndani?
Polepole- Kanjanja la kisiasa.
 
Polepole alinichekesha sana wakati JPM anapiga magoti nadhani ni njombe kule, Polepole alikuwa nyuma yake na alikuwa hana hata mpango wa kupiga goti, alivyoona JPM anapiga goti na yeye aliruka kwa speed ya ajabu kwenda kuungana na JPM kupiga magoti. Jamaa ana PhD ya Uchawa.
 
Polepole alinichekesha sana wakati JPM anapiga magoti nadhani ni njombe kule, Polepole alikuwa nyuma yake na alikuwa hana hata mpango wa kupiga goti, alivyoona JPM anapiga goti na yeye aliruka kwa speed ya ajabu kwenda kuungana na JPM kupiga magoti. Jamaa ana PhD ya Uchawa.
Hahaaaaa..........
 
Humphrey Polepole mimi nakuambia ukweli kabisa kwamba unahitajika uwanjani kuja kumalizana na hoja za CAG, Zitto Kabwe na Freeman Mbowe.

Mbona mchezo huu kwako ni wakitoto tu na kwako unahitaji press conference moja tu ya dakika 45 kumzima CAG, Zitto na Mbowe.

Mbona kupindi cha Magufuli kulikuwa hakuna CAG yeyote aliyekuwa anakusumbua. Kipindi hicho ilikuwa CAG akiweka ugoko wewe unaweka jiwe. Lazima CAG avimbe.

Huyu Zitto na Mbowe kipindi cha Magufuli uliwamudu sana ilifikia hatua mpaka 'uliwanunua' madiwani wao na wabunge wao kwa bei chee sana. Sasa wameanza tena kufurukuta.

Mimi najua kwako hili ni suala dogo sana hebu piga press conference moja matata sana ambayo itatoa vumbivumbi hili lililotanda angani.

Au ni kweli haya ninayoyasikia kwamba wewe mwenyewe mguu nje mguu ndani?
Sasahivi hana nguvu tena
 
Kweli maisha yanakwenda kwa kasi mno, yaani leo hii CAG mpya, Yule wa zamani Assad, Mh. Mbowe na Zitto hawajajibiwa tu na huyu Mr. Polepole hadi muda huu? kweli?
 
Humphrey Polepole mimi nakuambia ukweli kabisa kwamba unahitajika uwanjani kuja kumalizana na hoja za CAG, Zitto Kabwe na Freeman Mbowe.

Mbona mchezo huu kwako ni wakitoto tu na kwako unahitaji press conference moja tu ya dakika 45 kumzima CAG, Zitto na Mbowe.

Mbona kupindi cha Magufuli kulikuwa hakuna CAG yeyote aliyekuwa anakusumbua. Kipindi hicho ilikuwa CAG akiweka ugoko wewe unaweka jiwe. Lazima CAG avimbe.

Huyu Zitto na Mbowe kipindi cha Magufuli uliwamudu sana ilifikia hatua mpaka 'uliwanunua' madiwani wao na wabunge wao kwa bei chee sana. Sasa wameanza tena kufurukuta.

Mimi najua kwako hili ni suala dogo sana hebu piga press conference moja matata sana ambayo itatoa vumbivumbi hili lililotanda angani.

Au ni kweli haya ninayoyasikia kwamba wewe mwenyewe mguu nje mguu ndani?
Kiroboto wanalizana uko na ndugai mkuu wa sukumagang
 
11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom