GRAMAA
JF-Expert Member
- Nov 1, 2014
- 1,155
- 3,398
Humphrey Polepole mimi nakuambia ukweli kabisa kwamba unahitajika uwanjani kuja kumalizana na hoja za CAG, Zitto Kabwe na Freeman Mbowe.
Mbona mchezo huu kwako ni wakitoto tu na kwako unahitaji press conference moja tu ya dakika 45 kumzima CAG, Zitto na Mbowe.
Mbona kupindi cha Magufuli kulikuwa hakuna CAG yeyote aliyekuwa anakusumbua. Kipindi hicho ilikuwa CAG akiweka ugoko wewe unaweka jiwe. Lazima CAG avimbe.
Huyu Zitto na Mbowe kipindi cha Magufuli uliwamudu sana ilifikia hatua mpaka 'uliwanunua' madiwani wao na wabunge wao kwa bei chee sana. Sasa wameanza tena kufurukuta.
Mimi najua kwako hili ni suala dogo sana hebu piga press conference moja matata sana ambayo itatoa vumbivumbi hili lililotanda angani.
Au ni kweli haya ninayoyasikia kwamba wewe mwenyewe mguu nje mguu ndani?
Mbona mchezo huu kwako ni wakitoto tu na kwako unahitaji press conference moja tu ya dakika 45 kumzima CAG, Zitto na Mbowe.
Mbona kupindi cha Magufuli kulikuwa hakuna CAG yeyote aliyekuwa anakusumbua. Kipindi hicho ilikuwa CAG akiweka ugoko wewe unaweka jiwe. Lazima CAG avimbe.
Huyu Zitto na Mbowe kipindi cha Magufuli uliwamudu sana ilifikia hatua mpaka 'uliwanunua' madiwani wao na wabunge wao kwa bei chee sana. Sasa wameanza tena kufurukuta.
Mimi najua kwako hili ni suala dogo sana hebu piga press conference moja matata sana ambayo itatoa vumbivumbi hili lililotanda angani.
Au ni kweli haya ninayoyasikia kwamba wewe mwenyewe mguu nje mguu ndani?