mwanamwana
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,076
- 4,113
Idd Amini akifa mimi siwezi kulia,nitamtupa mto Kagera awe chakula cha mamba
Membe alivyoitwa Dodoma halafu akasema anaenda hotelini kula chakula kizuri na mkewe si alisikilizwa?Mbona Membe hamkumpa nafasi ya kumsikiliza?
Na wanawake wenyewe tayari wamejiheshimisha, basi waheshimiwe
Kama mnaheshimu wanawake
🤔🤔Mbona MEMBE hamkumpa nafasi
Hata Tundu na Zitto hawakumsikiliza Membe, tena walimpuuza na kumdhalilishaHata wanaume akina Membe walistahili kusikilizwa.