Humphrey Polepole: Natoa rai kwa vyama vya siasa kuheshimu nafasi wanazopewa Wanawake

Kama taifa tumepiga hatua sana kwenye haki na usawa wa kijinsia. Ni muhimu kila taasisi nchini ikahakikisha haturudi nyuma kwenye hilo.
Haki za wanawake na kuwajengea wanawake uwezo ni ufunguo wa maendeleo shirikishi.
 
hivi anafikiri yeye ni serikari kuwa anatoa rai kwa vyama vya siasa hivye yeye ndio kiranja wao wa vyama vyote
 
Back
Top Bottom