Humphrey Polepole, Musukuma na "Kakikundi" kao tunawatazama kwa makini sana!

Kama unataja akili kama za shetani mkuu uko sahihi,maana shetani mkuu aliweza kupiga chenga za kishetani na kufauli kuwa na himaya aloimiliki.
Kama jpm aliua, alipiga watu risasi,alihamishia mali chato, alileta ukabila,udini akaiba hela ktk akaunt za watu, akatenganisha koo, familia na ushenzi wote, I BEG TO BE WITH YOU, THE SUN OF LUCIPHER
When ignorance screams, intelligence moves on..

By the way kuua ni relative
 
NDUGU YANGU UMETIRIRIKA VIZURI HATA MOYO WANGU UKAFURAHI SANA. GOD BLESS YOU. UKWELI NI MPUMBAVU KUPINDUKIA ASIYEFAHAMU MADHARA YA MACHINGA. UKIACHA HILO LA KUATHIRI KODI ZA SERIKALI NA KUCHAFUA MIJI, KUNA HILI LA VIJANA KUTIRIRIKA KUTOKA VIJIJINI KWENDA MIJINI WAKIAMINI KUWA HUKO NDIKO KWENYE MAISHA. HILI JAMBO NI LA HATARI KUPINDUKIA NA LISIPOTHIBITIWA SASA HAKUTAKUA NA MJI WOWOTE WENYE HADHI TANZANIA HII MAANA SERIKALI HAIJAJIPANGA KUHUDUMIA MLINDUKANO HUO HUKO MIJINI.

Akili zenu ndio zinavyo watuma na mnawadhibiti kwa kufanya yale ya vingunguti scania sio? Tengenezeni mazingira ya huko watokako ili wasitanani kuja mjini kulala kwenye mavaranda kariakoo na kwengine.

Wewe unashughulika na machinga wanao panga vitu barabarani hujiulizi baadhi yao wanalala na kuamkia wapi kabla ya kuja kupanga biashara zao barabarani? Machinga wasiposhughulikiwa kwa akili uhalifu utakaozalishwa unaweza kuzidi uwezo wa polisi wetu.
 
Nyie wafuasi wa Samia ndo mnataka kushindanisha Magufuli na Samia,bila kujua mnampoteza huyo bibi yenu,mpaka watu wanaanza kupata imani ya mambo yanayongelewa mtaani kwamba Samia alifanikisha kifo cha Magufuli,mwambieni Makamba na Team yake waache ujinga
Mimi ni mfuasi wa kila mwenyekiti wa CCM....

Humu uliwahi kuniona nikimshambulia hayati kipenzi chetu JPM?!!!

Nitaendelea kumtii na kumsifia mh.Rais SSH Sawa na nilivyofanya kwa hayati JPM....tofauti yetu tu ni kuwa kuna baadhi ya vijana wenzetu wasiojua na kuziishi
vyema ITIKADI ZA CHAMA kutokana na kutanguliza "hisia ,ushabiki koko na mapenzi kikundi"....

Ninaipenda sana tabia ya waziri mh.Lukuvi...yeye ni mtiifu mno kwa kila kiongozi aliyeko madarakani....hafagilii makundi koko hadharani wala "nyuma ya mapazia".

TUBADILIKE
TUBADILIKE KWA KWELI

#SiempreJMT
 
Rais Samia ni dhaifu hawezi kuongoza nchi makini kama Tanzania. She falls below presidential standards.

Anafaa sana kuwa mwenyekiti wa NGO za akina mama au VICOBA/ VIKOBA.

Hili linchi lenye kila rasilimali halipaswi kuwa omba omba. Gesi, madini maliasili, wanyama, mbuga, makaa ya mawe, ardhi safi na kubwa, nguvu kazi ya kutosha, wasomi mahiri na mengine mengi.

Tanzanite, almasi, dhahabu, migodi mikubwa Africa. Kodi, Tozo sijui nini. Rasilimali kila kona.

Tulikuwa na Rais shupavu anaitwa John Pombe Magufuli alikuwa anatambua kwamba sisi sio watu wa viwango duni vya kujikomba komba kwa mabeberu na matapeli wa Ulaya.

Huyu Chief Hangaya ana miezi mitatu tu kashaanza kujibembeleza na kujibebisha kwa wazungu.

Yaani ni mwendo wa ukike kike tu. Mara mie jinsia yangu ya kike, mara maumbile yangu ya kike sijui yamefanyaje.
politiki
 
Bora aliyekopa akajenga barabara na madaraja, kuna watu walikopa zikaishia mifukoni mwao, RIP JPM.

Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
Kina nani? Huyo magufuli kaikuta nchi ilisha anza kujengwa na watangulizi wake vitu vingi sana ndio maana yeye akapata pa kuendelea, tatizo sema alitaka awe mungu wa tanzani na viumbe hai wote wamwabudu yeye mungu akaona isiwe shida binadamu niliye muumba mwenyewe anataka kuambudiwa zaid yangu!? Na Akamtwaa! Sasa nyie waumini wake msitupigie kelele.
 
Kuongoza nchi iliyo na idadi kubwa ya watu wajinga bhana nikazi Sana. Yani mtu kuwa na mitazamo tofauti tu tayari ni adui wa taifa?

Mleta mada akili zako nikama za kina mahita tu.

Spika wa bunge la Marekani alichana hutuba ya rais Trump na bado hakuchukuliwa Kama adui wa taifa, iweje leo watu kutoa mawazo yao na kuongea wanachokiamini wachukuliwe Kama maadui wa taifa.

Think beyond mkuu!!
Ingekuwa hivyo rundo lile la wenye mawazo tofauri na chama mbogamboga na washirika wao,wasingekuwa wanashikiliwa magerezani miaka tena bila kufikishwa mahakamani.
 
Rais Samia ni dhaifu hawezi kuongoza nchi makini kama Tanzania. She falls below presidential standards.

Anafaa sana kuwa mwenyekiti wa NGO za akina mama au VICOBA/ VIKOBA.

Hili linchi lenye kila rasilimali halipaswi kuwa omba omba. Gesi, madini maliasili, wanyama, mbuga, makaa ya mawe, ardhi safi na kubwa, nguvu kazi ya kutosha, wasomi mahiri na mengine mengi.

Tanzanite, almasi, dhahabu, migodi mikubwa Africa. Kodi, Tozo sijui nini. Rasilimali kila kona.

Tulikuwa na Rais shupavu anaitwa John Pombe Magufuli alikuwa anatambua kwamba sisi sio watu wa viwango duni vya kujikomba komba kwa mabeberu na matapeli wa Ulaya.

Huyu Chief Hangaya ana miezi mitatu tu kashaanza kujibembeleza na kujibebisha kwa wazungu.

Yaani ni mwendo wa ukike kike tu. Mara mie jinsia yangu ya kike, mara maumbile yangu ya kike sijui yamefanyaje.
Hivi Shamba siyo Rasilimali?

Hivi Ng'ombe siyo Rasilimali?

Hivi si ndiyo sasa Waziri wa Kilimo anaanza moja kufundisha watu Kilimo chenye Tija?

Miaka 60 Hatujui kulima na bado mtu unaongelea ati TUNA RASILIMALI-Shame!

HATUNA MAARIFA.
HATUJITUMI.

SHIDA NI VICHWA VYETU..

SIYO RASILIMALI!!

SASA RAIS AFANYEJE sasa na ana watu mizigo!?
 
Awali ya yote niseme nimezitama clips walizoachia masaa machache yaliyopita Humphrey Polepole na huyu Ndugu yetu "Darasa la saba" Joseph Kasheku Musukuma almaarufu King Musukuma!

Ukizitazama na kuzisikiliza kwa makini utagundua zote kwa pamoja zinafanana kwa maudhui japo zimetolewa na "Wahadhiri" wawili tofauti.

Kwanza, "Wahadhiri" wote wamejinasibu kwa kujitahidi sana kuchagua maneno ili kuonekana wanamheshimu Rais Samia na wanamuunga mkono ama yeye binafsi, Serikali yake ama Serikali ya CCM lakini wote ni WANAFIKI wakubwa sana!

Pili,wote wanataka waonekana wana ajenda ya kutetea masikini kama mtaji aliouacha "MWENDAZAKE"na ambao wanataka kutuonyesha kuwa Rais Samia haujali na ameamua kumsaliti "MWENDAZAKE"!

Tatu,"Wahadhiri" wote wamemshambulia sana Mheshimiwa Amos Gabriel Makala, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam kama mtu wa hovyo, mtu ambaye hana maarifa , mtu ambaye alishashindwa maisha na Rais Samia amefanya makosa na kumpa Ukuu wa Mkoa wa Dar es Salaam!

Kabla sijaenda mbele nizungumzie mambo mawili kwanza ili twende sawa.

Mosi, siungi mkono jinsi wamachinga pale vingunguti walivyofanyiwa baada ya kupewa mwezi mmoja, lakini siungi pia uwepo wa wamachinga kila mahali na kubembelezwa kwao. Wamachinga hawana impact yoyote ya maana katika uchumi wetu zaidi ya kutudidimiza kwa kuuwa uchumi wetu na kuvuruga miji yetu! Ni ujinga kwa mtu kama Mbunge badala ya kuibua mikakati na kuishauri Serikali namna ya kuja na miradi yenye tija kwa Taifa itakayowa-absorb wamachinga na kuwafanya wazalishaji wa kweli kwenye production chain.

Pili, huyu Amosi Gabriel Makala ni nani? Simjui sana ila najua elimu yake ni nzuri tu! Ana Masters( MBA) na pia ana CPA ( Certified Public Accountant), amewahi kuwa Katibu wa Uchumi na Fedha wa CCM Taifa na Mjumbe wa Kamati Kuu (CC), Mkuu wa mikoa kadhaa (Kilimanjaro,Mbeya,Katavi) kabla ya kuletwa Dar es Salaam. Amekuwa Mbunge na Naibu Waziri wa Habari.

Na niseme huyu ndo mtu ambaye kwa sasa naona alikuwa ame- qualify kuwa KATIBU MKUU WA CCM kama profile ingekuwa na maana yoyote ndani ya CCM!
Huyu ndo mtu ambaye Polepole kwa kujificha nyuma ya kichaka cha shule ya uongozi anamfundisha namna ya ku- deal na mamalishe wa masaki!

Musukuma yeye kutokana na uhafifu wa elimu yake (Darasa la Saba) hawezi kujificha kama Polepole ,amefunguka kuwa Mhe.Amosi Makala ana magenge ya Urais 2025!

Humphrey Polepole na Musukuma ni WANAFIKI sana, rejeeni mambo yao huko nyuma!
Polepole aliwahi kukana maelezo yake wakati wa mchakato wa katiba na mstakabali wa CCM katika uchaguzi huru na haki (Clip zipo humu)!

Musukuma wakati wa safari ya matumaini ya Lowasa alienda hadi uwanja wa Sheik Amri Abeid pale Arusha lakini baadaye alimgeuka na ndiye aliyevujisha "Habari" za Lowasa kujinyea Chato!
WANAFIKI sana watu hawa!!

Turudi kwa huyu Humphrey Polepole, najua amehitimu Masters ya DS ( Development Studies) hivi karibuni!
Kwenye clips zake alizotoa huitaji kuwa na elimu ya kutengeneza roketi (rocket science) kujua ana gubu na Rais Samia na Serikali yake baada ya kupigwa chini.
Hiki alichoki- hadhiri leo kwenye "Dependency theory"ni ujinga tu na kupinga safari ya Rais Samia kule Marekani (UNGA)!

Polepole tuambie Magufuli alikuta deni la Taifa ni kiasi gani na aliacha limefika kiasi gani?

Na kama alikopa basi atueleze Magufuli alikopa kwenye taasisi zipi?

Polepole acha gubu kwa Rais Samia na Serikali yake!
Pangua hoja za polepole mkuu sio utake kumziba mdogo asiongee
 
Jpm alifilisi nchi ndugu na kutufukakarisha tu. Daily nchi hii tajiri lakini watu wanazidi kuwa maskini na wala hajali kabisa. Ni kakpindi chake ndo hakuajiri kabisa na hakuongeza mishahara kabisa na hakutaka kusikia hilo halafu unasema nchi tajiri wakati watu wanazidi kuwa maskini. What a stupid stupendous
Unauhakika hakujiri?
 
Msiwe mnatukanana si vyema, hakuna siasa au masilahi yanayozidi utu maana haya yote mnayopigania matayaacha tu hapa duniani.
Mkuu hayo yalinenwa na MKUU WA NCHI, na yatabaki kuwa katika kumbukumbu ya pale tulipofikia kama nchi.
Unapochagua kiongozi wakati mwingine ni kama pata potea, unaweza okota gharasha!
 
Awali ya yote niseme nimezitama clips walizoachia masaa machache yaliyopita Humphrey Polepole na huyu Ndugu yetu "Darasa la saba" Joseph Kasheku Musukuma almaarufu King Musukuma!

Ukizitazama na kuzisikiliza kwa makini utagundua zote kwa pamoja zinafanana kwa maudhui japo zimetolewa na "Wahadhiri" wawili tofauti.

Kwanza, "Wahadhiri" wote wamejinasibu kwa kujitahidi sana kuchagua maneno ili kuonekana wanamheshimu Rais Samia na wanamuunga mkono ama yeye binafsi, Serikali yake ama Serikali ya CCM lakini wote ni WANAFIKI wakubwa sana!

Pili,wote wanataka waonekana wana ajenda ya kutetea masikini kama mtaji aliouacha "MWENDAZAKE"na ambao wanataka kutuonyesha kuwa Rais Samia haujali na ameamua kumsaliti "MWENDAZAKE"!

Tatu,"Wahadhiri" wote wamemshambulia sana Mheshimiwa Amos Gabriel Makala, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam kama mtu wa hovyo, mtu ambaye hana maarifa , mtu ambaye alishashindwa maisha na Rais Samia amefanya makosa na kumpa Ukuu wa Mkoa wa Dar es Salaam!

Kabla sijaenda mbele nizungumzie mambo mawili kwanza ili twende sawa.

Mosi, siungi mkono jinsi wamachinga pale vingunguti walivyofanyiwa baada ya kupewa mwezi mmoja, lakini siungi pia uwepo wa wamachinga kila mahali na kubembelezwa kwao. Wamachinga hawana impact yoyote ya maana katika uchumi wetu zaidi ya kutudidimiza kwa kuuwa uchumi wetu na kuvuruga miji yetu! Ni ujinga kwa mtu kama Mbunge badala ya kuibua mikakati na kuishauri Serikali namna ya kuja na miradi yenye tija kwa Taifa itakayowa-absorb wamachinga na kuwafanya wazalishaji wa kweli kwenye production chain.

Pili, huyu Amosi Gabriel Makala ni nani? Simjui sana ila najua elimu yake ni nzuri tu! Ana Masters( MBA) na pia ana CPA ( Certified Public Accountant), amewahi kuwa Katibu wa Uchumi na Fedha wa CCM Taifa na Mjumbe wa Kamati Kuu (CC), Mkuu wa mikoa kadhaa (Kilimanjaro,Mbeya,Katavi) kabla ya kuletwa Dar es Salaam. Amekuwa Mbunge na Naibu Waziri wa Habari.

Na niseme huyu ndo mtu ambaye kwa sasa naona alikuwa ame- qualify kuwa KATIBU MKUU WA CCM kama profile ingekuwa na maana yoyote ndani ya CCM!
Huyu ndo mtu ambaye Polepole kwa kujificha nyuma ya kichaka cha shule ya uongozi anamfundisha namna ya ku- deal na mamalishe wa masaki!

Musukuma yeye kutokana na uhafifu wa elimu yake (Darasa la Saba) hawezi kujificha kama Polepole ,amefunguka kuwa Mhe.Amosi Makala ana magenge ya Urais 2025!

Humphrey Polepole na Musukuma ni WANAFIKI sana, rejeeni mambo yao huko nyuma!
Polepole aliwahi kukana maelezo yake wakati wa mchakato wa katiba na mstakabali wa CCM katika uchaguzi huru na haki (Clip zipo humu)!

Musukuma wakati wa safari ya matumaini ya Lowasa alienda hadi uwanja wa Sheik Amri Abeid pale Arusha lakini baadaye alimgeuka na ndiye aliyevujisha "Habari" za Lowasa kujinyea Chato!
WANAFIKI sana watu hawa!!

Turudi kwa huyu Humphrey Polepole, najua amehitimu Masters ya DS ( Development Studies) hivi karibuni!
Kwenye clips zake alizotoa huitaji kuwa na elimu ya kutengeneza roketi (rocket science) kujua ana gubu na Rais Samia na Serikali yake baada ya kupigwa chini.
Hiki alichoki- hadhiri leo kwenye "Dependency theory"ni ujinga tu na kupinga safari ya Rais Samia kule Marekani (UNGA)!

Polepole tuambie Magufuli alikuta deni la Taifa ni kiasi gani na aliacha limefika kiasi gani?

Na kama alikopa basi atueleze Magufuli alikopa kwenye taasisi zipi?

Polepole acha gubu kwa Rais Samia na Serikali yake!
Swala la Machinga ni kaa la moto, linahitaji mjadala wa kitaifa, na siyo kwa watu wale wale tunao waona kwenye kipindi cha kipima joto, ITV,hata uchumi wetu unahitaji mjadala wa kitaifa tunahitaji 'National economic structure of the Nation' mfumo wetu maalumu wa kiuchumi wa nchi (Tanzania) ambao wanasiasa wakiugusa wanaambiwa aaa! hapa usigusee, hatuhitaji uchumi wa waziri wa fedha,hatutafika popote,uchumi wetu haujakaa sawa
 
usiongee mada usizozijua! Umafikiri madhara ya uvuvi haramu kwenye afya ya binadamu! Watu wanapata kansa wewe unakuja kurukia mada hapa!
 
usiongee mada usizozijua! Umafikiri madhara ya uvuvi haramu kwenye afya ya binadamu! Watu wanapata kansa wewe unakuja kurukia mada hapa!
Wasukuma mna chuki na Samia,na Samia atahakikisha anapiga chini mabaki yote ya magufuli kwenye serikali yake,nyie mbwa hamna shukrani
Unawaita wasukuma mbwa? Kwa hiyo wasukuma hawakuwepo kabla ya Magufuli au Samia? Pumbavu sana na chuki zako za kikabila! Huna la kuwafanya wasukuma pimbi wewe!
 
usiongee mada usizozijua! Umafikiri madhara ya uvuvi haramu kwenye afya ya binadamu! Watu wanapata kansa wewe unakuja kurukia mada hapa!

Unawaita wasukuma mbwa? Kwa hiyo wasukuma hawakuwepo kabla ya Magufuli au Samia? Pumbavu sana na chuki zako za kikabila! Huna la kuwafanya wasukuma pimbi wewe!
Ahahah, nyie watani zangu ni washamba tu, hamna mlijualo
 
Back
Top Bottom