Humphrey Polepole, Musukuma na "Kakikundi" kao tunawatazama kwa makini sana!

usiongee mada usizozijua! Umafikiri madhara ya uvuvi haramu kwenye afya ya binadamu! Watu wanapata kansa wewe unakuja kurukia mada hapa!

Unawaita wasukuma mbwa? Kwa hiyo wasukuma hawakuwepo kabla ya Magufuli au Samia? Pumbavu sana na chuki zako za kikabila! Huna la kuwafanya wasukuma pimbi wewe!
halafu dada umerukwa na akili, uvuvi na jukwaa la siasa wapi na wapi ??! Haya Wai mwaloni kanunue sato ukatembeze uuze,

kutwa mnamsakama Samia, Magufuli ameshakufa, Now Rais ni Samia hadi 2050, hutaki Hama Nchi
 
Rais wa hovyo kuwahi kutokea. Hana vision, anaenda na mihemko, hovyo below presidential standards. Ptuu
 
We mataga kweli kweli; mtu akiwa na mawazo tofauti na ya kwako basi anakuwa adui? Wajinga ndio waliwao!
 
Polepole alipigwa chini na Magufuli, aliyemuondoa kwenye wadhifa wake, na sababu kubwa ni kuwa ameuza nafasi nyingi za ubunge, ameuza nafasi kwenye mchakato wa ndani wa CCM. Magufuli alipigundua ndipo akaamua na kumfanya mbunge. Sasa leo PP kuja kumsakama Mama Samia eti kwa nini hakunipa nafasi.
 
Rais Samia ni dhaifu hawezi kuongoza nchi makini kama Tanzania. She falls below presidential standards.

Anafaa sana kuwa mwenyekiti wa NGO za akina mama au VICOBA/ VIKOBA.

Hili linchi lenye kila rasilimali halipaswi kuwa omba omba. Gesi, madini maliasili, wanyama, mbuga, makaa ya mawe, ardhi safi na kubwa, nguvu kazi ya kutosha, wasomi mahiri na mengine mengi.

Tanzanite, almasi, dhahabu, migodi mikubwa Africa. Kodi, Tozo sijui nini. Rasilimali kila kona.

Tulikuwa na Rais shupavu anaitwa John Pombe Magufuli alikuwa anatambua kwamba sisi sio watu wa viwango duni vya kujikomba komba kwa mabeberu na matapeli wa Ulaya.

Huyu Chief Hangaya ana miezi mitatu tu kashaanza kujibembeleza na kujibebisha kwa wazungu.

Yaani ni mwendo wa ukike kike tu. Mara mie jinsia yangu ya kike, mara maumbile yangu ya kike sijui yamefanyaje.
Ccm mmepungukiwa kitu akili,busara au matumbo yamezidi nguvu akili,mpaka lini mtakuwa mnajikomba kwa watu tukiwaambia suluhu ya haya mambo ni katiba mpya yenye kupunguza madaraka ya hawa viongozi na kukomboa mihimili yetu mikuu mitatu, tukifanya hivyo system yenyewe ita pick good leader na ku suck out wachumia tumbo
Tuache unafiki na ubinafsi tudai katiba mpya,sio kama sasa kiongozi aliye kuteuwa akiondoka amefariki au amestaafu wafwaaa
 
Awali ya yote niseme nimezitama clips walizoachia masaa machache yaliyopita Humphrey Polepole na huyu Ndugu yetu "Darasa la saba" Joseph Kasheku Musukuma almaarufu King Musukuma!

Ukizitazama na kuzisikiliza kwa makini utagundua zote kwa pamoja zinafanana kwa maudhui japo zimetolewa na "Wahadhiri" wawili tofauti.

Kwanza, "Wahadhiri" wote wamejinasibu kwa kujitahidi sana kuchagua maneno ili kuonekana wanamheshimu Rais Samia na wanamuunga mkono ama yeye binafsi, Serikali yake ama Serikali ya CCM lakini wote ni WANAFIKI wakubwa sana!

Pili,wote wanataka waonekana wana ajenda ya kutetea masikini kama mtaji aliouacha "MWENDAZAKE"na ambao wanataka kutuonyesha kuwa Rais Samia haujali na ameamua kumsaliti "MWENDAZAKE"!

Tatu,"Wahadhiri" wote wamemshambulia sana Mheshimiwa Amos Gabriel Makala, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam kama mtu wa hovyo, mtu ambaye hana maarifa , mtu ambaye alishashindwa maisha na Rais Samia amefanya makosa na kumpa Ukuu wa Mkoa wa Dar es Salaam!

Kabla sijaenda mbele nizungumzie mambo mawili kwanza ili twende sawa.

Mosi, siungi mkono jinsi wamachinga pale vingunguti walivyofanyiwa baada ya kupewa mwezi mmoja, lakini siungi pia uwepo wa wamachinga kila mahali na kubembelezwa kwao. Wamachinga hawana impact yoyote ya maana katika uchumi wetu zaidi ya kutudidimiza kwa kuuwa uchumi wetu na kuvuruga miji yetu! Ni ujinga kwa mtu kama Mbunge badala ya kuibua mikakati na kuishauri Serikali namna ya kuja na miradi yenye tija kwa Taifa itakayowa-absorb wamachinga na kuwafanya wazalishaji wa kweli kwenye production chain.

Pili, huyu Amosi Gabriel Makala ni nani? Simjui sana ila najua elimu yake ni nzuri tu! Ana Masters( MBA) na pia ana CPA ( Certified Public Accountant), amewahi kuwa Katibu wa Uchumi na Fedha wa CCM Taifa na Mjumbe wa Kamati Kuu (CC), Mkuu wa mikoa kadhaa (Kilimanjaro,Mbeya,Katavi) kabla ya kuletwa Dar es Salaam. Amekuwa Mbunge na Naibu Waziri wa Habari.

Na niseme huyu ndo mtu ambaye kwa sasa naona alikuwa ame- qualify kuwa KATIBU MKUU WA CCM kama profile ingekuwa na maana yoyote ndani ya CCM!
Huyu ndo mtu ambaye Polepole kwa kujificha nyuma ya kichaka cha shule ya uongozi anamfundisha namna ya ku- deal na mamalishe wa masaki!

Musukuma yeye kutokana na uhafifu wa elimu yake (Darasa la Saba) hawezi kujificha kama Polepole ,amefunguka kuwa Mhe.Amosi Makala ana magenge ya Urais 2025!

Humphrey Polepole na Musukuma ni WANAFIKI sana, rejeeni mambo yao huko nyuma!
Polepole aliwahi kukana maelezo yake wakati wa mchakato wa katiba na mstakabali wa CCM katika uchaguzi huru na haki (Clip zipo humu)!

Musukuma wakati wa safari ya matumaini ya Lowasa alienda hadi uwanja wa Sheik Amri Abeid pale Arusha lakini baadaye alimgeuka na ndiye aliyevujisha "Habari" za Lowasa kujinyea Chato!
WANAFIKI sana watu hawa!!

Turudi kwa huyu Humphrey Polepole, najua amehitimu Masters ya DS ( Development Studies) hivi karibuni!
Kwenye clips zake alizotoa huitaji kuwa na elimu ya kutengeneza roketi (rocket science) kujua ana gubu na Rais Samia na Serikali yake baada ya kupigwa chini.
Hiki alichoki- hadhiri leo kwenye "Dependency theory"ni ujinga tu na kupinga safari ya Rais Samia kule Marekani (UNGA)!

Polepole tuambie Magufuli alikuta deni la Taifa ni kiasi gani na aliacha limefika kiasi gani?

Na kama alikopa basi atueleze Magufuli alikopa kwenye taasisi zipi?

Polepole acha gubu kwa Rais Samia na Serikali yake!
Kazi kweli kweli
 
Rais Samia ni dhaifu hawezi kuongoza nchi makini kama Tanzania. She falls below presidential standards.

Anafaa sana kuwa mwenyekiti wa NGO za akina mama au VICOBA/ VIKOBA.

Hili linchi lenye kila rasilimali halipaswi kuwa omba omba. Gesi, madini maliasili, wanyama, mbuga, makaa ya mawe, ardhi safi na kubwa, nguvu kazi ya kutosha, wasomi mahiri na mengine mengi.

Tanzanite, almasi, dhahabu, migodi mikubwa Africa. Kodi, Tozo sijui nini. Rasilimali kila kona.

Tulikuwa na Rais shupavu anaitwa John Pombe Magufuli alikuwa anatambua kwamba sisi sio watu wa viwango duni vya kujikomba komba kwa mabeberu na matapeli wa Ulaya.

Huyu Chief Hangaya ana miezi mitatu tu kashaanza kujibembeleza na kujibebisha kwa wazungu.

Yaani ni mwendo wa ukike kike tu. Mara mie jinsia yangu ya kike, mara maumbile yangu ya kike sijui yamefanyaje.

Unasema ulikuwa na RAIS shupavu ambae alikuwa sio omba omba?

Mbona hadi anaondoka deni la Taifa lilizid kupaa juu na umaskin ukashika hatam kwa Kasi?

Ni miez takriban nane saiz tokea atoweke unadhan RAIS samia atafanya miujiza gan ya kubadili uozo wa mwendazake kwa haraka hivyo,anaenda kwa hatua na hata hivyo she's doing a fantastic job,sema wasukuma mkiongozwa na pole pole it's like mmerukwa na akili na hamuanim kuwa comrade Magufuli is very dead and very gone,polen sana
 
Wewe mtoa mada ni bure kabisa.
Kwa akili yako unaweza kumlinganisha JPM na huyo mtu wenu.

JPM ni habari nyingine kabisa. Tangu kuumbwa Ulimwengu, Watanzania hatujawahi kununua mbolea sh.90,000/- ,lakini sasa hiyo ndo bei iliyopo sokoni.

Kwa ujumla vitu vinapanda bei kwa zaidi ya 47%. Ebu tuambie, yule aliyejiunganishia Bomba la Mafuta ya serikali yuko wapi sasa, yale madawa ya kulevya yaliyoshikwa yako wapi na wahusika wako wapi sasa?
Angekuwepo JPM upumbavu kama huo usingetokea kabisa.

Ni aibu kubwa sana. Tanzania ina kila kitu lakini bado tunapenda kuzurura huku na huko kutafuta MABWANA wa kutusaidia.

RIP, JPM BABA YETU.

Tuondolee hiyo laana,we prayed a lot so that god could send a soul taker to take his soul away so as we can breathe a little bit and our prayers were answered,

Then,out of nowhere unataka kutukumbusha hilo jinamiz?hiv wabongo mbona mnakuwa wepesi wa kusahau hivi??

Wafanyakaz na watumishi wa umma miaka zaid ya mitano hakuna salary incriment Wala kupanda madaraja,

Wafanya biashara walifunga biashara na wengine kuhama nchi kabisa ikiwa na TRA kuwabambikia madeni yasiyo na haki na uhalisia,

Kuvuruga demokrasia na uhuru wa vyombo vya habar ikiwemo na kuharibu uchaguz na kubambika wabunge wa ccm wote kule bungeni na kulinyima bunge hadhi ya kuisimamia serikali,

Chombo huru Cha kusimamia matumiz ya serikali kama CAG alikifunga mdomo na kukipa vitisho ikiwa na kumuondoa CaG kimizengwe kabisa Ili watu wasijue madudu ya serikali yake,

Kukua kwa Kasi kwa deni la Taifa zaid ya watanguliz wake huku yeye akiongopa kuwa alikuwa anafanya maendeleo kwa kutumia pesa za ndani,unataka kutuambia alikua na ubora upi wa kukumbukwa??

Mmerukwa na akili au
 
Unasema ulikuwa na RAIS shupavu ambae alikuwa sio omba omba?

Mbona hadi anaondoka deni la Taifa lilizid kupaa juu na umaskin ukashika hatam kwa Kasi?

Ni miez takriban nane saiz tokea atoweke unadhan RAIS samia atafanya miujiza gan ya kubadili uozo wa mwendazake kwa haraka hivyo,anaenda kwa hatua na hata hivyo she's doing a fantastic job,sema wasukuma mkiongozwa na pole pole it's like mmerukwa na akili na hamuanim kuwa comrade Magufuli is very dead and very gone,polen sana
We una kichaa sio bure
 
60 Reactions
Reply
Back
Top Bottom