Humphrey Polepole: Mageuzi makubwa yanakuja CCM, uchaguzi kufuata baada ya marekebisho ya Katiba

Casuist

JF-Expert Member
Jul 23, 2014
1,179
2,940
Habari waungwana,
Mji wa Dodoma pilika zimekuwa nyingi sana kuelekea mkutano maalum wa chama hicho huku ajenda ya mageuzi ikitawala. Baada ya ukimya kutawala na mkanganyiko ikiwemo ratiba ya nini kinafanyika Dodoma na kinachoenda kutokea msemaji wa chama hicho, Humprey Polepole ameibuka Rasmi.

Mageuzi makubwa yanafata CCM yakihalalishwa na mabadiliko makubwa ya katiba ya chama hicho kisha uchaguzi kwa ngazi zote za chama.

Ninachokiona watu wanaotuhumiwa kwa usaliti na kuonekana kutomuunga mkono mwenyekiti wakati wa pilikapilika za 2015 wakae mguu sawa maana inasemekana mzee hapendi wanafki.
 
CCM bana wanachonishangaza eti mtu mmoja cheo kimoja afu wanaongelea mawaziri na wabunge ila mkulu hiyo kauli mbiu haimuhusu. anyway mnajijua wenyewe na lichama lenu. Huenda pia uteuzi wa ubunge wa mke wa msataafu ukawa ni mkakati wa kumtoa kamati kuu, nimehisi tu.
 
Habari waungwana,
Mji wa Dodoma pilika zimekuwa nyingi sana kuelekea mkutano maalum wa chama hicho huku ajenda ya mageuzi ikitawala. Baada ya ukimya kutawala na mkanganyiko ikiwemo ratiba ya nini kinafanyika Dodoma na kinachoenda kutokea msemaji wa chama hicho, Humprey Polepole ameibuka Rasmi.

Mageuzi makubwa yanafata CCM yakihalalishwa na mabadiliko makubwa ya katiba ya chama hicho kisha uchaguzi kwa ngazi zote za chama.

Ninachokiona watu wanaotuhumiwa kwa usaliti na kuonekana kutomuunga mkono mwenyekiti wakati wa pilikapilika za 2015 wakae mguu sawa maana inasemekana mzee hapendi wanafki.
Natamani sana CCM wangenielewa
CCM msikubali marekebisho ya Katiba yenu, mtakwisha!!!
 
Habari waungwana,
Mji wa Dodoma pilika zimekuwa nyingi sana kuelekea mkutano maalum wa chama hicho huku ajenda ya mageuzi ikitawala. Baada ya ukimya kutawala na mkanganyiko ikiwemo ratiba ya nini kinafanyika Dodoma na kinachoenda kutokea msemaji wa chama hicho, Humprey Polepole ameibuka Rasmi.

Mageuzi makubwa yanafata CCM yakihalalishwa na mabadiliko makubwa ya katiba ya chama hicho kisha uchaguzi kwa ngazi zote za chama.

Ninachokiona watu wanaotuhumiwa kwa usaliti na kuonekana kutomuunga mkono mwenyekiti wakati wa pilikapilika za 2015 wakae mguu sawa maana inasemekana mzee hapendi wanafki.
 
Msingi (the essence) au kiini cha chama cha siasa no Itikadi. CCM haina itikadi yoyote hivyo kubadilisha katiba ni sawa na Sarakasi kiakili. (Intellectual gymnastics). haileti mabadiliko ya kuleta maendeleo.
 
sasa si bora mngelala nyumbani mumuachie ayafanye hayo mabadiliko mwenyewe kama yeye yupo juu ya hiyo katiba yenu.
Nashangaa chama kinachojiita kikongwe Leo kinapelekwa puta na mtu ambaye hakijui asili yake na hajawahi kushika nafasi yeyote ndani ya chama hata katibu wa tawi.
 
Kama kosa lao kumkataa basi wapo sahihi, ni wakti muafaka kujiunga na ukawa kuleta mabadiliko ya kweli ya uchumi maendeleo na elimu.
 
Kisheria , katiba au sheria ikitungwa Leo inaanza kutumika tu siku ikisainiwa na mhusika.
Inaanza na wapya. Wale waliokutwa humo kabla haijabadilishwa haiwahusu hadi muda wao uishe. Hivyo basi:
Rais na m/kiti was chama taifa haitamwasili. Watakaoathirika ni wale muda wao unakwisha na uchaguzi unawafuata.
Ma-RC/DC wataathirika kwa kuwa ni wateule wake. Kama wanavyeo kwenye chama basi watachagua kilicho bora kwao
 
Habari waungwana,
Mji wa Dodoma pilika zimekuwa nyingi sana kuelekea mkutano maalum wa chama hicho huku ajenda ya mageuzi ikitawala. Baada ya ukimya kutawala na mkanganyiko ikiwemo ratiba ya nini kinafanyika Dodoma na kinachoenda kutokea msemaji wa chama hicho, Humprey Polepole ameibuka Rasmi.

Mageuzi makubwa yanafata CCM yakihalalishwa na mabadiliko makubwa ya katiba ya chama hicho kisha uchaguzi kwa ngazi zote za chama.

Ninachokiona watu wanaotuhumiwa kwa usaliti na kuonekana kutomuunga mkono mwenyekiti wakati wa pilikapilika za 2015 wakae mguu sawa maana inasemekana mzee hapendi wanafki.
Yaan kama aikumuunga mkono maana yake ni mnafiki?, kwani alikuwa mgombea pekee? Twafwa
 
CCM bana wanachonishangaza eti mtu mmoja cheo kimoja afu wanaongelea mawaziri na wabunge ila mkulu hiyo kauli mbiu haimuhusu. anyway mnajijua wenyewe na lichama lenu. Huenda pia uteuzi wa ubunge wa mke wa msataafu ukawa ni mkakati wa kumtoa kamati kuu, nimehisi tu.
Mkuu umewaza mbali....wameina wampoze haraka kabla hawajamkata....hivi membe nae yuko kamati kuu??
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom