Twilumba
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 11,528
- 12,365
Mmojawapo ndo amekabidhiwa wizara yenyewe mbona twafaaa!!!kuna wahuni wanashirikiana na mabeneru kuhujumu mradi huo
Mmojawapo ndo amekabidhiwa wizara yenyewe mbona twafaaa!!!kuna wahuni wanashirikiana na mabeneru kuhujumu mradi huo
Nani amjibu? Mjinga huwa anajibiwa kijingaIssue ni kwamba ajibiwe kwa hoja kuhusu umuhimu wa hiyo bandari,sio kulingania kijingajinga
We ni mmoja wa wahuni aisee sio kwa povu hilo!!!Mtu na akili zake timamu anawezaje kuamgalia Star TV? Ni aina fulani ya Chennel local kupita maelezo, usukuma mwingi sana. Ni mpumbavu tu ndio atatumia muda wake kangalia hiyo chaneli
Naona unapinga hoja yake,sasa weka fact zako dhidi ya hoja yake sio kuweka imoji za kuchekacheka kama zuzuNimefatilia vyema kabisa mahojiano yake na mtozi, amekua makini sana kuchagua maneno kwenye maswala ya bandari ya bmoyo na bwawa la Mwl. Nyerere, msimamo wake ni mzuri...
Hamna kitu hapo wachina wametupiga kweupemama awe makini sana na hiyo bandari la sivyo historia itamuhukumu
Walete mkataba wa makubaliano na wachina watanzania wote tujue mbivu na mbichi.Nakubaliana na wewe kwa asilimia kubwa,hii bandari kuna mambo ya unyonyaji mkubwa sana
Sahihi kabisaWalete mkataba wa makubaliano na wachina watanzania wote tujue mbivu na mbichi.
Wanachoficha Ni nini lakini?
Kwanini walioanzisha bandari ya DSM hawakujenga pale Bagamoyo? Na Bagamoyo ndio ulikuwa mji wa kwanza? Swali langu limejikita kwenye marine and shipping behaviour ya maeneo yote mawili.Labda kama Bandari ya Dar es Salaam ina potential ya kujengwa kwa kiwango cha megaport otherwise hamjui mkisemacho. Strategic location ya Dar au Bagamoyo huwezi ilinganisha na Tanga au Mtwara.
Yaan huu mjadala unafanywa kua mrefu kwasababu Hakuna aliyeona mkataba unasemaje na mchina.Sahihi kabisa
Mi nashauri bandari ijengwe zanzibar,, si unaona hongkong ilivyopaa, kwakuwa na bandari iliyo busy,, sisi wabara watuache tu, tuendelee kuchunga ng'ombe, na kulima mazaoNakubaliana na wewe kwa asilimia kubwa,hii bandari kuna mambo ya unyonyaji mkubwa sana
😂😂😂 Pole sana ndugu. Kuzaliwa hivyo ulivyo sio dhambi, dhambi ni kufa hivyo ulivyoNaona unapinga hoja yake,sasa weka fact zao dhidi ya hoja yake sio kuweka imoji za kuchekacheka kama zuzu