johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,597
- 141,411
- Thread starter
- #121
Hahahaa........ nakuona tetty ulivyotetemeka laigwanan kutimba mjengoni!Nipo SMART kuliko wewe changanya na Mwenyekiti wako na huyo Polepole bado hamtanipata
Hahahaa........ nakuona tetty ulivyotetemeka laigwanan kutimba mjengoni!Nipo SMART kuliko wewe changanya na Mwenyekiti wako na huyo Polepole bado hamtanipata
Waombe wasiombe msisitizo ni uharamia wa kisiasa kwa hivyo nchi ya viwanda vya uharamia wa kisiasaUmeambiwa wanaomba wenyewe kwa barua, mbona unakuwa mgumu kuelewa!
Hahahaa........ nakuona tetty ulivyotetemeka laigwanan kutimba mjengoni!
Vipi, washahama?kesho nataka nione hao viongozi watakaoamia ccm
Keshokutwa mkuu!kesho nataka nione hao viongozi watakaoamia ccm
Karibu tufuatilie, kipindi ni Msema kweli na mtangazaji Albert Kilala! Up dates: Mwenezi anasema vyama vya Upinzani havina itikadi wala sera.
Pili anasisitiza CCM kwa sasa ina takribani wanachama milioni 12.
Tatu kuna wabunge na madiwani wslioomba kwa barua kujiunga na CCM lakini wamewakataa kwa sababu ni mizigo.
Nne viongozi maarufu zaidi ya 20 wa Chadema kutoka mikoani na taifani watahamia CCM tarehe 18/01/2018 na amesita kidogo kuthibitisha kwamba miongoni mwao mzee Lowassa yumo lakini mtazamo wa sura yake umeonyesha huenda akawemo!
Chanzo: Channel ten
nilichanganya file za tare nahisi hii window ya kichwa imechoka Itabidi nibadili ili niweze kwenda Sawa na hio crikali ya chichiemKeshokutwa mkuu!
ni kesho Mkuu ila wasipojiunga ½ Ray atajiunga bando siku ipiteVipi, washahama?
Kama ina wanachama mil.12 mbona MNAFANYA biashara ya KUWANUNUA?