johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,867
- 141,797
- Thread starter
- #101
Hahahaa umenikumbusha katiba ya Warioba na katiba Pendekezwa!Ndugu yangu Polepole najua unajua kwamba uimara wa chma (CCM) kilichopo madarakani hutegemea mno upinzani ulio imara. Hii biashara uifanyayo ya kudhohofisha upinzani ina matokeo hasi kwa chama chetu tawala. CCM itakuja kumeguka makundi makubwa mawili. ¡ kundi la wenye chama (kandambili)¡¡ kundi masilahi (laizoni). Siasa hizo unazofanya zilishapitwa na wakati. Yetu macho.