hao chadema hata walinzi wa viongozi wao ni majambazi polisi fanya kazi
BWN POLEPOLE amekuwa mwiba kwa LOWASA na mgombea wa ukawa. jana amevamiwa nybani kwake ambapo baada ya kuanza kumshambulia mgombeawa ukawa amekuwa akipata vitisho.
polisi wanaendelea na uchunguzi.
Hakika hapa Jf kuna vichwa !
Jf's member anaesomeka kwa username Kyenju , ndiyo amenifanya niandike thrade hii.
Kyenju kupitia comment yake , humuhumu Jf amehoji kwamba Humphrey hadi saa 5 na ushee jana usiku , alikuwa chanel 10 kwenye kipindi (live) .
Binafsi mimi nilikua nakiangalia kipindi hicho .
Hoja muhimu ya Kyenju , anahoji tujiulize magazeti yanakua yamemakamilika kuchapishwa muda gani ?
Na tuanzie hapo :
Uzoefu unatuambia/tuonesha by saa 5 - 6 usiku magazeti hua tayari yashachapwa , na yaendayo mikoani hua tayari yako njiani .
Point muhimu hapa , ni saa ngapi Mr slowslow alifika home , na ni saa ngapi alivamiwa ? Saa ngapi polisi walifika kum'resque (kama ilivyoripotiwa gazetini)
Na ni muda gani habari zilifika chumba cha habari cha gazeti , zikahaririwa na kueditiwa ?
Na asubuhi zikaamka kwa walaji gazetini.
Ikumbukwe gazeti lililoripoti , ni gazeti lenye mahusiano na Uhuru/Daily news.
Wadau wangu hii makitu inaingia akilini ?
Tamthilia either !
Kosa Lao ni kushindwa kujua kwamba polepole is nobody na kuvamiwa kwake si ajabu kwani ujambazi Tanzania umeongezekaTusipoteza Muda Kujadiri Hiki Kituko, Nadhani Wana Nia Na Kutuamisha kwenye Hoja ili tusijadiri Chanzo Cha UPUMBAVU Na
UROFA Wetu Ni Nini Kama Sio CCM na Hao Wanaotutukana.
polepole ajichunge sana,ukawa watammaliza asee....