Hawajui kama hii dunia ni ya Mola๐ค.Kajamaa kalibariki ujambazi wa October 28 mwaka jana sasa wanavuna karma yao! Well served cold and chilly
Hawajui kama hii dunia ni ya Mola๐ค.Kajamaa kalibariki ujambazi wa October 28 mwaka jana sasa wanavuna karma yao! Well served cold and chilly
Kuna maswali najiuliza mbona kama wanasiasa wa tanzania baraz Wana uwezo mkubwa sana katka comedy kuliko hata politics Kuna haja yakua halalisha kua politics in tz is directly proportional to comedyMtu aliyehusika kuratibu maoni ya wananchi kwenye Mchakato wa Katiba mpya ulioitwa KATIBA YA WARIOBA, aliyehusika kwenye kila kitu kwenye mchakato ule , leo anaibuka na kudharau waziwazi maoni ya wananchi
View attachment 2024346
Leo Polepole anasema kwamba Muundo wa Muungano si hoja ya maana , Madaraka ya Rais kwake leo si kipaumbele , hataki hata kusikia kuhusu Tume huru ya uchaguzi , eti si muhimu .
Hivi huyu hata kama kalogwa mbona aliyemloga atakuwa katili sana ! Kulogwa ubongo ni jambo baya mno .
ushachanganyikiwa !Ni mekuuliza kipimo unachotumia unasema maandishi yangu uko sawa kweli?
Sema kipimo unachotumia kupima mitizamo ya uongo acha janja janja..
Foolish.
Na badoKajamaa kalibariki ujambazi wa October 28 mwaka jana sasa wanavuna karma yao! Well served cold and chilly
๐๐ค๐ฎ๐ฎ ๐ฆ๐๐จ๐ง๐ ๐ฎ๐ง๐๐ฉ๐จ๐ญ๐๐ณ๐ ๐ฆ๐ฎ๐๐ ๐ฐ๐๐ญ๐ฎ ๐ค๐ฎ๐ฃ๐๐๐ข๐ฅ๐ข ๐ฆ๐๐ฐ๐๐ณ๐จ ๐ฒ๐ ๐ฆ๐ญ๐ฎ ๐ฆ๐ ๐จ๐ง๐ฃ๐ฐ๐??Mtu aliyehusika kuratibu maoni ya wananchi kwenye Mchakato wa Katiba mpya ulioitwa KATIBA YA WARIOBA, aliyehusika kwenye kila kitu kwenye mchakato ule , leo anaibuka na kudharau waziwazi maoni ya wananchi
View attachment 2024346
Leo Polepole anasema kwamba Muundo wa Muungano si hoja ya maana , Madaraka ya Rais kwake leo si kipaumbele , hataki hata kusikia kuhusu Tume huru ya uchaguzi , eti si muhimu
Hivi huyu hata kama kalogwa mbona aliyemloga atakuwa katili sana ! Kulogwa ubongo ni jambo baya mno .
Hicho ndio kipimo?ushachanganyikiwa !
Hahaha amebaki kubwabwaja kama mleviLaana ya zile hela za watanzania alizotumia kununua wapinzani imeanza kufanya kazi...hayupo sawa...ni kweli..aombewe.
Anavuna alichopandaAlishakosea siasa zake za kuchagua tumbo anaonekana takataka kama ZZK.
na bado mpaka atubu uhuni waliofanya serikal za mitaa na uchaguz Mkuu 2020Mtu aliyehusika kuratibu maoni ya wananchi kwenye Mchakato wa Katiba mpya ulioitwa KATIBA YA WARIOBA, aliyehusika kwenye kila kitu kwenye mchakato ule , leo anaibuka na kudharau waziwazi maoni ya wananchi
View attachment 2024346
Leo Polepole anasema kwamba Muundo wa Muungano si hoja ya maana , Madaraka ya Rais kwake leo si kipaumbele , hataki hata kusikia kuhusu Tume huru ya uchaguzi , eti si muhimu .
Hivi huyu hata kama kalogwa mbona aliyemloga atakuwa katili sana ! Kulogwa ubongo ni jambo baya mno .
Labda tumshawishi aeleze ni kipi cha maana/muhimu kwake.Mtu aliyehusika kuratibu maoni ya wananchi kwenye Mchakato wa Katiba mpya ulioitwa KATIBA YA WARIOBA, aliyehusika kwenye kila kitu kwenye mchakato ule , leo anaibuka na kudharau waziwazi maoni ya wananchi
View attachment 2024346
Leo Polepole anasema kwamba Muundo wa Muungano si hoja ya maana , Madaraka ya Rais kwake leo si kipaumbele , hataki hata kusikia kuhusu Tume huru ya uchaguzi , eti si muhimu .
Hivi huyu hata kama kalogwa mbona aliyemloga atakuwa katili sana ! Kulogwa ubongo ni jambo baya mno .