Humphrey Polepole adai hana mpango wa kugombea ubunge 2025

Kwani alishawahi kugombea jimbo gani mhuni wa stendi huyo laana ya ununuzi wa binadamu inamtafuna.
 
Mtu huyu ambaye aliongoza kikosi cha ushawishi ( ununuzi ) wa wabunge wa Upinzani , kwa kuwashawishi wajiunge na ccm ili majimbo yao yapate Maendeleo ya upendeleo kutokana na msimamo wa Rais wa awamu ya 5 Dr Magufuli , ikumbukwe kwamba Hayati Magufuli alijiapiza hadharani waziwazi bila kuogopa Katiba wala Mungu kwamba HATOPELEKA MAENDELEO MAHALI WALIKOCHAGUA WAPINZANI .

Leo Polepole aliyekuwa mshika fungu la ununuzi hataki kugombea Ubunge popote kwa kile alichodai Hana Karama na cheo hicho , amesema yuko tayari kuwatumikia wananchi kwenye eneo lingine , labda ni kwenye ile shule ya uongozi ambayo yeye ndiye Mkufunzi Mkuu.
View attachment 2002167
Kwanza ana jimbo? Tuanzie hapo

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Hivi hii nchii inaweza kiongozwa na mtu wa mawazo ya Vii eiitee mnaijua... V8.

Hebu tuwe serious jamani...tumefikishwa hapa kuwapa watu mchi ambao ni washamba, hawana exposér ya uongozi..wanatawala kwa himemko...

Nafikiri mwalimu wakqti anaondoka kwenye hili halulitilia maanani, ila tunakwisha..kupinga mawazo ya CCM wewe ni GAIDI.
 
Polepole hana ushawishi wowote wa kisiasa ndani ya CCM, hata angesema anataka Ubunge hakuna jimbo lolote anaweza kushinda! Hawa ni watu ambao hawakuwa na political background yoyote wakabebwa na mbeleko ya Magufuli na kuwafikisha hapo walipo!
Nguvu zao za kisiasa zilijengeka katika misingi ya unafiki na kujipendekeza!
Kwa kuwa "Mungu" wao kafa na wao automatically wamekufa kisiasa!
Kwa hiyo Polepole aache uongo ama adanganye wajinga.Kama hataki ubunge au hana karama nao basi AJIUZURU LEO.
Hata hivyo kutokana na matamshi yake anaenyesha Dalili ya kuachia ngazi kwa siku za karibuni.
 
Mtu huyu ambaye aliongoza kikosi cha ushawishi ( ununuzi ) wa wabunge wa Upinzani , kwa kuwashawishi wajiunge na ccm ili majimbo yao yapate Maendeleo ya upendeleo kutokana na msimamo wa Rais wa awamu ya 5 Dr Magufuli , ikumbukwe kwamba Hayati Magufuli alijiapiza hadharani waziwazi bila kuogopa Katiba wala Mungu kwamba HATOPELEKA MAENDELEO MAHALI WALIKOCHAGUA WAPINZANI .

Leo Polepole aliyekuwa mshika fungu la ununuzi hataki kugombea Ubunge popote kwa kile alichodai Hana Karama na cheo hicho , amesema yuko tayari kuwatumikia wananchi kwenye eneo lingine , labda ni kwenye ile shule ya uongozi ambayo yeye ndiye Mkufunzi Mkuu.
View attachment 2002167
Kumbe wabunge wengi wa upinzani walikuwa wanasiasa Malaya Malaya
 
Mtu huyu ambaye aliongoza kikosi cha ushawishi ( ununuzi ) wa wabunge wa Upinzani , kwa kuwashawishi wajiunge na ccm ili majimbo yao yapate Maendeleo ya upendeleo kutokana na msimamo wa Rais wa awamu ya 5 Dr Magufuli , ikumbukwe kwamba Hayati Magufuli alijiapiza hadharani waziwazi bila kuogopa Katiba wala Mungu kwamba HATOPELEKA MAENDELEO MAHALI WALIKOCHAGUA WAPINZANI .

Leo Polepole aliyekuwa mshika fungu la ununuzi hataki kugombea Ubunge popote kwa kile alichodai Hana Karama na cheo hicho , amesema yuko tayari kuwatumikia wananchi kwenye eneo lingine , labda ni kwenye ile shule ya uongozi ambayo yeye ndiye Mkufunzi Mkuu.
View attachment 2002167
Pole Pole Hajawahi kupata Nafasi Kwa Kugombea Jukwaani
Ni Mtu wa Kuteuliwa tu
 
Anajua fika alivyopoteza mvuto na ushawishi kwa umma, baada ya kuwa kinara kwenye siasa chafu za Magufuli. Hivyo anajua fika akiingia kwenye uchaguzi bila support ya vyombo vya dola hawezi kutangazwa mshindi kwa shuruti.
 
Chifu Hang ya hatarudisha jina lake.

Anajua fika alivyopoteza mvuto na ushawishi kwa umma, baada ya kuwa kinara kwenye siasa chafu za Magufuli. Hivyo anajua fika akiingia kwenye uchaguzi bila support ya vyombo vya dola hawezi kutangazwa mshindi kwa shuruti.
 
Ndugu Komredi Polepole ni mwongea nyikani tu.......

Siempre JMT
#Kazi Iendelee Kwa Kasi & Weledi Zaidi💪
 
Mtu huyu ambaye aliongoza kikosi cha ushawishi ( ununuzi ) wa wabunge wa Upinzani , kwa kuwashawishi wajiunge na ccm ili majimbo yao yapate Maendeleo ya upendeleo kutokana na msimamo wa Rais wa awamu ya 5 Dr Magufuli , ikumbukwe kwamba Hayati Magufuli alijiapiza hadharani waziwazi bila kuogopa Katiba wala Mungu kwamba HATOPELEKA MAENDELEO MAHALI WALIKOCHAGUA WAPINZANI .

Leo Polepole aliyekuwa mshika fungu la ununuzi hataki kugombea Ubunge popote kwa kile alichodai Hana Karama na cheo hicho , amesema yuko tayari kuwatumikia wananchi kwenye eneo lingine , labda ni kwenye ile shule ya uongozi ambayo yeye ndiye Mkufunzi Mkuu.
View attachment 2002167
Nanyi ukinzani mbona nongwa?! Mie nilifikiri mtafarijika! Mwenzenu kaona mbali. Yaliowakuta kina Musiba na msiba, Sabaya, Dr Bashiru na wengineo hasa waliopoteza maisha si mchezo! Mwacheni mwanaccm apumzike kwa kutoa madini ya uongozi bora kwa makada wote, ndio mpaka wa ukinzani!
 
Polepole hana ushawishi wowote wa kisiasa ndani ya CCM, hata angesema anataka Ubunge hakuna jimbo lolote anaweza kushinda! Hawa ni watu ambao hawakuwa na political background yoyote wakabebwa na mbeleko ya Magufuli na kuwafikisha hapo walipo!
Nguvu zao za kisiasa zilijengeka katika misingi ya unafiki na kujipendekeza!
Kwa kuwa "Mungu" wao kafa na wao automatically wamekufa kisiasa!
Kwa hiyo Polepole aache uongo ama adanganye wajinga.Kama hataki ubunge au hana karama nao basi AJIUZURU LEO.
Comment yenye akili sana
 
Back
Top Bottom