Human Trafficking ipo kwa kiasi kikubwa Tanzania

mirindimo

JF-Expert Member
Nov 2, 2009
821
1,337
Achilia mbali hawa watu wenye ulemavu wanaoletwa Dar kutoka sehem mbalimbali nchini na kuhifadhiwa kwenye magesti ili wakawe omba omba wapo wengine wanakusanywa Kinondoni na kusafirishwa sehemu mbali mbali nchi za nje ili kufanya kazi za ndani, kazi za kujiuza na kubeba madawa !! Wahusika wanafahamika na baadhi ya viongozi wetu na hawachukuliwi hatua yoyote
 
Inabidi tuwe na udhibiti wa hali ya juu, maana kuna nchi wananunua viungo vya miili ya wanadamu pia, hiyo pesa yake hata hao waliowekwa kupiga vita uharamia huo wanaweza kufunga macho uharamia uendelee.
 
Tutajie hao wahusika tuanze nao. Unaweza ukataja eneo alipo sio lazima utaje jina Kama Masanja au Massawe hata ukitaja tabia zake au kazi yake nyingine au Kama Ni sheikh Ubwabwa, au mchungaji feki au askofu au mtume mwakipusa.
 
Back
Top Bottom