technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,843
Wanasema hakukuwa na uharaka wa kuwaisha mkopo kwa nchi ambayo haijatoa uhakika Kama watoto wa kike watapata elimu endapo mkopo utapitishwa wanasema World bank wasitoe mkopo wa awali mpaka pale watakapojilizisha Kama mkopa utawanufaisha watoto wote wa kike na kiume bila ubaguzi
wanasema serikali ya Tanzania haina transparent (uwazi) juu ya watoto wanaopata ujauzito uwa wanaenda wapi baada ya kufukuzwa shule
Wanasema WB wasikiuke Sera zao za kutoa mikopo ya elimu kwani Sera ipo wazi haitoi ubaguzi Kama wanavyofanya Tanzania.
wanasema serikali ya Tanzania haina transparent (uwazi) juu ya watoto wanaopata ujauzito uwa wanaenda wapi baada ya kufukuzwa shule
Wanasema WB wasikiuke Sera zao za kutoa mikopo ya elimu kwani Sera ipo wazi haitoi ubaguzi Kama wanavyofanya Tanzania.