Watakuja wataalamu!!! WatakujuzaWakuu kwa mwenye uzoefu mtu mwenye degree ya human Nutrition akiajiriwa pale muhimbili labda kitengo moi, monthly salary anaweza akaanza na package kiasi gani?? Nina sababu ya kuuliza hivi wakuu na ninafahamu jukwaa hili lina watu wa kada hii pia.
Watakuja wataalamu!!! Watakujuza
Sent using Jamii Forums mobile app