kaligopelelo
JF-Expert Member
- Jun 20, 2013
- 2,761
- 3,938
Wanasema binadamu alitokana na jamii ya nyani (sokwe).
Then evolution ikatake place hatua kwa hatua huku akipitia vipindi tofautitofauti kama vile HOMOSAPIENS,HOMOHABILLIS & ZINJANTHROPUS.
Swali langu la msingi ni hili;
1. Hii jamii ya nyani ambayo mpaka kesho wapo,wakati wenzao wapo kwenye evolution wao walikuwa wapi?
2. Kwanini tusishuhudie mabadiliko yao kama tu zile sababu za evolution zinaendelea kuwepo?
3. Je,tuendelea kutegemea evolution nyingine kutoka hatua hii tuliyopo au tumeshafika mwisho.
Then evolution ikatake place hatua kwa hatua huku akipitia vipindi tofautitofauti kama vile HOMOSAPIENS,HOMOHABILLIS & ZINJANTHROPUS.
Swali langu la msingi ni hili;
1. Hii jamii ya nyani ambayo mpaka kesho wapo,wakati wenzao wapo kwenye evolution wao walikuwa wapi?
2. Kwanini tusishuhudie mabadiliko yao kama tu zile sababu za evolution zinaendelea kuwepo?
3. Je,tuendelea kutegemea evolution nyingine kutoka hatua hii tuliyopo au tumeshafika mwisho.