Hukuna jambo linaudhi kama mtu kutekwa halafu watanzania wakaanza harakati za kumtafta kwa kuandika tu Bring back somebody mitandaoni bila action

Wee britanicca umesahau kuwa hili Taifa ndio nchi inayoongoza kwa idadi ya watu wa nafiki...??!!!

sasa hiyo #bringback ina saidia nini !!!?, hata hao watekaji wakati wana panga mipango yao Walikuwa wanajua tu kuwa " watanzania watabakia kubweka bweka tu mithili ya mbwa mbele ya chatu lakini mwisho wa siku huwa anaishia kuliwa tu ...

Watanzania ni jamii ya Wanyama nyumbu mbele ya simba/ chui wenye meno na makucha makali
 
Wee britanicca umesahau kuwa hili Taifa ndio nchi inayoongoza kwa idadi ya watu wa nafiki...??!!!

sasa hiyo #bringback ina saidia nini !!!?, hata hao watekaji wakati wana panga mipango yao Walikuwa wanajua tu kuwa " watanzania watabakia kubweka bweka tu mithili ya mbwa mbele ya chatu lakini mwisho wa siku huwa anaishia kuliwa tu ...

Watanzania ni jamii ya Wanyama nyumbu mbele ya simba/ chui wenye meno na makucha makali
Hapo sasa, natamani ningekuwa Tanzania, wangenikoma kwa movements mbali mbali, yaan mtu anatekwa tunaishia kuandika bring back Ben saa nane
 
Siku utakayopotezwa ww ndio utajua maana hao jamaa haijalishi unawashangilia au unawapinga muhimu uwe target yao
Hakuna jambo linakera kama mtu kujifanya mzarendo, mpenda maendeleo, mpigania haki wakati yupo kajificha Nyuma ya keyboard asijulikane,

Kuna ka utaratibu ka watu kupotea alafu watanzania solution pekee ni hashtag ya bring someone back, na kulala wakidhani wameplay role yao vya kutosha,

Watu inakuwa fursa ya kuuza mpaka ma tshirt ya bring someone, nawaambieni kwa utaratibu huu watakuwa wanapotea mnaandika bring back na mnasahau na hawapatikani,

Najua ntaulizwa eti nini kifanyike, sitasema nini kifanyike, ila za kuambiwa changanya na zako
 
mkuu ni kuwa walitakiwa au tulitakiwa? Mpaka hapo tushafeli maana kila mtu anahisi ni kazi ya mtu mwingine kuandamana.
Kweli mkuu daah shida ni ile nani analianzisha ndo watu tunaunga ilo ndo tatizo
 
Hakuna jambo linakera kama mtu kujifanya mzarendo, mpenda maendeleo, mpigania haki wakati yupo kajificha Nyuma ya keyboard asijulikane,

Kuna ka utaratibu ka watu kupotea alafu watanzania solution pekee ni hashtag ya bring someone back, na kulala wakidhani wameplay role yao vya kutosha,

Watu inakuwa fursa ya kuuza mpaka ma tshirt ya bring someone, nawaambieni kwa utaratibu huu watakuwa wanapotea mnaandika bring back na mnasahau na hawapatikani,

Najua ntaulizwa eti nini kifanyike, sitasema nini kifanyike, ila za kuambiwa changanya na zako
Mizania yako ya ulinganifu ina kasoro!

Ni kweli utashikilia msimamo wako hata mkeo "akipatiwa mimba" na mwenyekiti wa serikali ya mtaa wako!?
Au mtu kujenga international airport chato!!!
 
Back
Top Bottom