britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
Hakuna jambo linakera kama mtu kujifanya mzarendo, mpenda maendeleo, mpigania haki wakati yupo kajificha Nyuma ya keyboard asijulikane,
Kuna ka utaratibu ka watu kupotea alafu watanzania solution pekee ni hashtag ya bring someone back, na kulala wakidhani wameplay role yao vya kutosha,
Watu inakuwa fursa ya kuuza mpaka ma tshirt ya bring someone, nawaambieni kwa utaratibu huu watakuwa wanapotea mnaandika bring back na mnasahau na hawapatikani,
Najua ntaulizwa eti nini kifanyike, sitasema nini kifanyike, ila za kuambiwa changanya na zako
Kuna ka utaratibu ka watu kupotea alafu watanzania solution pekee ni hashtag ya bring someone back, na kulala wakidhani wameplay role yao vya kutosha,
Watu inakuwa fursa ya kuuza mpaka ma tshirt ya bring someone, nawaambieni kwa utaratibu huu watakuwa wanapotea mnaandika bring back na mnasahau na hawapatikani,
Najua ntaulizwa eti nini kifanyike, sitasema nini kifanyike, ila za kuambiwa changanya na zako