Informer
JF-Expert Member
- Jul 29, 2006
- 1,577
- 6,582
The conviction of @ChademaTZ members, incl. @freemanmbowetz, on spurious charges, is more evidence of deteriorating political space & freedoms in #Tanzania. The govt's efforts to criminalize the opposition further undermines the possibility of democratic polls later this year.
===
Seneta wa Marekani kupitia ukurasa wake wa Twitter anaeleza kuwa kufuatia mashtaka waliopewa viongozi mbalimbali wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ni moja kati ya alama inayoashiria ukosefu wa uhuru wa kisiasa Tanzania.
Ameongeza kuwa, juhudi ambazo Serikali inatumia katika kuwatuhumu viongozi wa kisiasa wa Upinzani inaondoa uwezekano wa kuwa na uchaguzi huru na haki kwa mwaka huu.
===
Seneta wa Marekani kupitia ukurasa wake wa Twitter anaeleza kuwa kufuatia mashtaka waliopewa viongozi mbalimbali wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ni moja kati ya alama inayoashiria ukosefu wa uhuru wa kisiasa Tanzania.
Ameongeza kuwa, juhudi ambazo Serikali inatumia katika kuwatuhumu viongozi wa kisiasa wa Upinzani inaondoa uwezekano wa kuwa na uchaguzi huru na haki kwa mwaka huu.