Lengai Ole Sabaya na Wenzake wawili wahukumiwa miaka 30 Jela kwa kosa la unyang'anyi wa kutumia silaha

Kwa maana hiyo hukumu ya Sabaya imezingatia ushahidi uliotolewa au la?

Kama imezingatia ushahidi na si kingine nini maoni yako mleta mada ikiwa na kwa Mbowe watazingatia ushahidi?
 
Hapa kuna watu wametengenezewa mchezo hebu kumbuka maelezo ya ofisa wa polisi kupewa taarifa na mtu ambae ni mwanajeshi kuhusu watu kupewa Kazi na Mbowe ya Ulinzi (Alafu imegeuka njama za ugaidi)
Mtu mwenyewe alie toa taarifa yuko ndani , walimkuta ndani na bado case yake haijaanza sikilizwa , na huko ndan hawa wajeshi/washtakiwa walimsaidia pia , waliiambia mahakama anateswa

Itakapoanza case kubwa utacheka ufe
 
Katiba yako inakataza mwanajeshi aliekufuzwa asijitafutie kazi /kapato?

Inakataza mtu binafsi asiwaajiri??

Hebu jitahid usifanane na user name yako basi , utafanya upuuzwe wakat una akili timamu tu
Mwanajeshi ubaki kuwa mwanajeshi tu.hata akifukuzwa.ndo maana nasema nyie mnaona ni kesi ndogo.
Ila suala la wanajeshi kuingia kwenye kesi ya mbowe.kesi ishakuwa kubwa.
Na hapo ndipo watakapombana mbowe .
Watakuja kumwambia alitaka kinda jeshi la UASI KUPITIA HAO MAKAMANDA.
 
Back
Top Bottom