Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 9,824
- 19,695
^Akili ikikosa mahali pa kujiegemeza, huweza kujining'iniza hata hewani^ ~ Anonymous
🖕🖕🖕Hiyo mimba uliyodungwa na mwendazake itakutoa roho kwa siku lazima umtaje mara 62!
Mdude alikamatwa na cocaine za mbowe akizisambaza mikoa ya nyanda za juu kusini
Mpakwa mafuta alikuwa mkabila,mkanda,alifanya hadi ubaguzi wa rangi.Mpakwa mafuta alikuwa anatukana watu kuwa wabaki na mavi yao nyumbani.Hii ni heshima?Huyu dogo hana heshima kabisa, ukiachana na cheo, Magufuli ni sawa na baba yake kiumri. Hakupaswa kumtolea maneno kama hayo.
CHADEMA fundisheni vijana wenu maadili sio kun fu tu.
Kila nchi na tamaduni zake. Kama za Kenya unazipenda, unahamia huko tu!Mwenda zake alikua mtu WA ajabu
Sana udikteta ulimzid
Kenya rais WA Kenya aliwah kuitwa
Mbwa akiwa na mama yake na
Aliemtus hakumfanya kitu na alikua mbunge wa upinzan
kwan kaburini hayupo 😂😂Kwahyo Magu bado yupo?
We nae hua lisenge kweli.
0:25 - 0:28 ndo useme alikuwa hauzi bangi na madawa ya kulevya"Mwambieni huyo anaejiita Rais wa wanyonge, mnyonge ni Bibi yake sisi sio wanyonge"-Mheshimiwa Mdude Nyagali.
My take:Marehemu mpakwa mafuta aliamini kuwa yeye ni Mungu wa Tanzania na kumwambia maneno kama haya ni sawa na kuinajisi nchi ya Tanzania.
View attachment 1818241
ningeshangaa kama mbowe usingemtaja 😂Hiyo mimba uliyodungwa na mwendazake itakutoa roho kwa siku lazima umtaje mara 62!
Mdude alikamatwa na cocaine za mbowe akizisambaza mikoa ya nyanda za juu kusini
Mpakwa mafuta hayupo ila bado kivuli chake ndicho kinatawala nchi kwa madaha.Kwahyo Magu bado yupo?
We nae hua lisenge kweli.
kwa hyo hapo akili yako ime ning'inia^Akili ikikosa mahali pa kujiegemeza, huweza kujining'iniza hata hewani^ ~ Anonymous
398 days bila hukumu!Kuna mtu huko nchi za wenzetu, kamchapa Rais kofi. Adhabu yake kafungwa miezi 4. Huku kwetu Mdude kakaa lumande muda gani???
Huku kwetu wasanii wanapigwa vita kisa wamechagua kuwa chama tawala wanalazimishwa kuwa wanaharakati, wale wenzetu tunatofautiana kwa vingi sana.Kuna mtu huko nchi za wenzetu, kamchapa Rais kofi. Adhabu yake kafungwa miezi 4. Huku kwetu Mdude kakaa lumande muda gani???
🤣🤣🤣ningeshangaa kama mbowe usingemtaja 😂
Hakuna mtu anawapiga vita wasanii kisa wamechagua kuwa CCM.Wasanii wanapigwa vita kwa kosa la kuunga mkono utawala usioheshimu haki za binadamu na demokrasia.Huku kwetu wasanii wanapigwa vita kisa wamechagua kuwa chama tawala wanalazimishwa kuwa wanaharakati, wale wenzetu tunatofautiana kwa vingi sana.
Ila kuna watu wamekamilika na hawana mbadala viatu vyao hakuna wa kuvivaa Tanzania nzima, Unafikiri mtu kama Mbowe yule angekuwa na mapungufu si angeshabadilishwa toka kitambo ila hana mbadala ni kiumbe cha kipekee.We naye huna hata akili...hapo kuna neno gani baya unalooona km siyo la heshima!?? Kukataa kuitwa wanyonge au au kusema mnyonge ni bibi yake!?? Nyie wajinga ndo mlimfanya mwendazake ajione amekamilika kila kitu!
Haya maneno kutoka mdomoni mwa mkuu wa nchi tena hadharani. Kupatwa kwa Tanzania.Mpakwa mafuta alikuwa mkabila,mkanda,alifanya hadi ubaguzi wa rangi.Mpakwa mafuta alikuwa anatukana watu kuwa wabaki na mavi yao nyumbani.Hii ni heshima?
Ndo CCM muendelee kunyanyasaKila nchi na tamaduni zake. Kama za Kenya unazipenda, unahamia huko tu!
Ndio maana nikasema pia wanalazimishwa kuwa wanaharakati.Hakuna mtu anawapiga vita wasanii kisa wamechagua kuwa CCM.Wasanii wanapigwa vita kwa kosa la kuunga mkono utawala usioheshimu haki za binadamu na demokrasia.
Kukemewa kwa kuunga mkono maovu ni kulazimishwa kuwa mwanaharakati?Kwa hiyo watu wakifanya maovu au wakiunga mkono maovu wasikemewe kisa ni kuwalazimisha kuwa wanaharakati?Ndio maana nikasema pia wanalazimishwa kuwa wanaharakati.